Makapuku Forum

Makapuku Forum

SOUTHAMPTON FC
33b01bbc689b407a91fb569bdcb97fca.jpg
 
NUKUU YA LEO.

The united states has to have the capability to deal with more than one enemy at one time and be able to confront them and win.

Marekani inatakiwa kuwa na uwezo wa kupambana na adui zaidi ya mmoja wa wakati mmoja na kukabiliana nao hadi awashinde.

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanasheria,mwanajeshi, jasusi na mkurugenzi wa zamani wa CIA Bw. Leon Edward Panetta. Leon mwenye asili ya kiitaliano alizaliwa tar.june 28 1938 katika jiji la carlifornia na wakimbizi wa kiitaliano.

Leon alisoma shule za catholic na baadaye alisomea digrii ya sayansi katika siasa, (political science) na baadaye Alipata digrii ya sheria.

Baada ya kutoka chuo kikuu alijiunga rasmi na jeshi la marekani na akawa anafanya kazi kitengo cha intelligence cha jeshi la marekani mwaka 1964 hadi 1966.

Baada ya hapo aliingia kwneye siasa kama mwakilishi wa carlifornia kwenye congress, alideal sana na mambo ya budget ambapo alimsaidia kupenya hadi ikulu ya marekani na kuwa White House Chief of staff wa rais Bill Clinton.

Barack obama akaja kumtea kuwa Director wa CIA mwaka january 5 2009, watu wengi walipiga kelele sana juu ya utenuzi huo wakidai kuwa Panetta hana uwezo na uzoefu wa kazi hiyo mpya aliyopewa.

moja wapo ya watu waliolalamika kwa uteuzi wa Panneta ni Dianne Feinstein seneta wa jimbo la calfornia anakotokea Panetta mwenyewe, huyo mama alikuwa ni mwenyekiti wa kamati ya uteuzi ya senates juu ya mambo yote ya usalama wa taifa la marekani.

Barack obama akamtua Panetta, sasa uliza mangapi yamefanyika chini ya uongozi wa panetta? shut-down ya Al-quida, vita kuuwa vinu vya nyuklia vya Iran, Korea, warheads fake alizouziwa Korea na muingereza?
82401b4edeb03f680c6d1d2c2562e52e.jpg
709d297a190810692d1c339f15e7cbbe.jpg
68c0417d7c834a3e82d6a5e007a535e6.jpg

Kuna kitu alikuwa cha ziada alikuwa nacho Panetta!

Morning Wakuu.
 
Zamani Wikend

Sitokuwa na mengi maana naona Jumamosi inataka kupita bila burudani. Tupate muziki wa zamani kidogo tena wa taratibu..


Hii nyimbo imenifanya nipate daku huku nina hisia kali let's think twice how special we're hatujafa hatujambika, kuna watu wanahitaji msaada wetu sio lazima iwe kiasi cha pesa ila upendo wetu kwao na kuwajali ni furaha yao.

Ahsante mtaasisi kwa kuweka wimbo mzuri baadae tukutane kwenye ile mada juu ya wanafunzi wanaopata mimba shuleni.

Tchaoo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom