Makapuku Forum

Makapuku Forum

73f79d7e8ff47ca68584a3c56c8240a1.jpg
Hii ni inamaanisha namna makampuni makubwa yanavyoneemeka na mali za masikini, hawezi kufanya kitu bila wao, ndio maana vikwazo vya kiuchumi huwa zinaharibu nchi pamoja na watu wake, mfano Zimbabwe, Somalia
 
Hii ni kama inaelezea serikali ya marekani inavyo control uchumi na umwagaji wa damu kupitia ukandamizaji
Pia pesa mwanaharamu
Pesa ni kama shetani ukiwa na pesa nyingi ni km umehifadhi shetani chumbani

Watu hufanya mambo ya kishetani mfano kuuana,kujiuza,kupigana vita shauri ya pesa
Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mungu
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom