shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nimekumbuka siku moja nipo bahari kuu zanzibar maeneo ya paje, saa saba mchana naelekea baharini, ile kufika tu nikakutana na mzee mmoja akaniambia kijana unafuata nini huku,Nini mkuu..!
Sometimes huwa unashindwa kunielewa eeh?
Nikamjibu nimekuja kutembea tu, akaniambia rudi haraka sana haya maeneo sio mazuri kwako nakuona uko mweupe mpaka matakoni, watakumaliza wewe
Nilirudi kwa speed sana, maana yake mimi sikuwa hata na chale yoyote ile
Baharini ni baharini mkuu
Next week nitakuwa kizimkazi kwenye dorofini

MITHALI 1
NAWATAKIA USIKU NWEMA MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO KWA NYUMBA ZOTE NA VITANDA VYETU VIZUNGUKWE DAMU YA YESU ITUFUNIKE MLALE SALAMA MBARIKIWE