Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jana nilipenda nishinde nanyi ila TANESCO walinipenda zaidi nikashindwa kuleta madini mujarabu.

Walibana wakaachia na sasa nipo nanyi tena kuendeleza kile kilichokusudiwa.

Awali ya yote natoa pole kwa familia ya mwimbaji wa taarabu mzee Yusuf kwa kumpoteza mkewe bi Chiku usiku huu Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi


Tutaangalia matokeo ya mechi za jana pia na kuwafahamu wachezaji walioachwa na timu zao, waliosajiliwa na waliotolewa kwa mkopo kwa timu zote za ligi kuu Uingereza.
Pole na TANESCO nadhani ni tatizo kubwq huku kwetu sijui kama wametuacha salama ni kuzima na kuwasha mara umeme kuwa mdogooo na kurudi ghafla tena...tuombe uwe umetulia sasa.

RIP Chiku na mtoto so sad mama na mtoto kupotea pamoja tena kwenye hospitali kongwe hadi uzazi unakuwa tishio kwa wanaotafuta watoto..Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja Mzee Yusuph, ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito .

Asante kwa ratiba na mambo ya michezo mkuu Nyagei kazi yako ni njema ubarikiwe
 
UF...

338d19c7dfb5fcf6d6b50c7e2dacd5dd.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom