Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Kuna msemo unasema



Money is what money does
Wachumi waamnini Hela ni tool of exchange baada ya maisha ya better trade..
Money can be changed for goods or service as far it has been accept by the surrounding society...
Nirudi kwenye picha sasa;


Kuna mahusiano baina ya mwanamme na mwanamke ambayo yanasababishwa na nguvu ya hela na ndio kulichopo kwenye picha hapo..
Mwanaume anatumia hela kumpata mwanamke..! Utaona hela zimetumika kama ngazi/ kiunganishi kwa mwanamke kumfata mwanaume...
Mwisho;
Wanaume Tutafuteni hela wakuu.
I stand to be corrected..
