Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
na kwako pia mama ubarikiwe sanaWAFILIPI 4
1 Basi ndugu zangu, wapendwa wangu, ninawaonea shauku, furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni imara katika BWANA, wapenzi wangu.
4 Furahini katika BWANA siku zote tena nasema furahini
5 Upole wenu na ujulikane na watu wote BWANA yu karibu
6 Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru haja zenu na zijulikane na MUNGU
7 Na amani ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu
MUWE NA JIONI NJEMA MBARIKIWE
![]()
![]()
WAFILIPI 4
MUWE NA JIONI NJEMA MBARIKIWE