Makapuku Forum

Makapuku Forum

Eti tuahindane kupost makorokoro km vilemwxrddg &%$$&%$$ /_/___&$-- au mtu kujisemesha semesha page nzima ili uzi uwe na kasi sijui post nyingi


Likes hukaa kwenye profile lakini maandishi ya mtu hukaa moyoni
Mtu atakupenda,kuchukia kutokana na maandishi siyo maLIKE....kuna kipindi JF kurekebisha server na kulamtu huanza na like 0 (nafikiri unakumbuka)
.......
Hawana jipya hao. Cha msingi tuendeleze kile tunachokiamini Tu.

Tuendeleze kupeana vitu vya kulisha ubongo ili tuongezee maarifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom