Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mama D nakumisnitaijaribu hii siku moja tena kwenye vodka ya Baba D akiwa ametoka
Mama D nakumisnitaijaribu hii siku moja tena kwenye vodka ya Baba D akiwa ametoka
HujaquoteBaba D umeamkaje asante kwa story ubarikiwe
Roger that!Ndio hivyo mdau
Na kuna kipindi uflash server na kila mtu huanza na![]()
![]()
Haina noma nimekuelewa
..........
Hawana jipya hao. Cha msingi tuendeleze kile tunachokiamini Tu.Eti tuahindane kupost makorokoro km vilemwxrddg &%$$&%$$ /_/___&$-- au mtu kujisemesha semesha page nzima ili uzi uwe na kasi sijui post nyingi
![]()
![]()
![]()
![]()
Likes hukaa kwenye profile lakini maandishi ya mtu hukaa moyoni
Mtu atakupenda,kuchukia kutokana na maandishi siyo maLIKE....kuna kipindi JF kurekebisha server na kulamtu huanza na like 0 (nafikiri unakumbuka)
.......
Uko jukwaa la malalamiko, ni wa leo huohuo si uliwekwa kipindi kile mpaka watu wakala ban mbona nimetoka mmu sijaona uzi wowote wa shangazi na chit chat pia
Mmmmmhbinamu yangu jamaan ushindwe wewe leo mama mchuchu huyo hapo anakufata ulipo na mm naumwa jamaan
Watu na fanta zao![]()
![]()
![]()
nilijua tu binamu halaf unapenda fanta orange eenh
Njoooooo bhana!Muwe na mchana mwema...
Naona hapa hapanifai tena


AkuuuNjoooooo bhana!
Hakuna lolote...![]()
Aaah! Tena kuna jamaa kasema "" mlivyo wahuni mmenza kuchat pia kwenye huu uzi wq warning"Nimeona ulivyo kuwa kauzu, kusutwa sio mchezo.....


Tushakusameheee![]()
![]()
sijasamehewa kumbe mnisamehe jamani CC Shunie mwanangu UNISAMEHE
WanguuHuuuuuu
Ngachokaa
nafanyaje sasa anataka picha yangu na lee

wewe tuma bhana...na ya uncle DLee ataleta mambo ya itifaki sana..mpaka niruhisiwe na lee mie
Mmh..hayo mambo sijazoea mie mpaka niombe ruhusa