Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahahauzi wa nani tena nimeingia moja kwa moja nimejibu pm yako na kuingia kapuku
Sijaona hata hiyo pm yako...
Shangazi yako kule bhana, watu wanalilia tabia yetu ile eeh
Hahahauzi wa nani tena nimeingia moja kwa moja nimejibu pm yako na kuingia kapuku
sasa nimebadili simu mda si mrefu sina picha hata moja ngoja Baba D akirudi akikubali nipige nae picha na akiniruhusu kukutumia nitakutimiapo pm sawa shemelaNipm kile kitu tulichongea jana...
we jana si uliaga mapema kwani ulirudi tenaUlivyotoka tu naye akaingia
Ndio hivyo mdauAchana na wale jamaa bhana![]()
This is KF and it will forever live..
Labda jf ife ndio na sisi tutakufa ..
Humu hata tukibaki wawili 2 . Kapuku inaendelea kama kawa..
Once a Kapuku..! Forever a Kapuku!
hapana aisee ngoja aniruhusuAfu wewe ndio unacomplicate bhana..
Fungua pm kwa dakika 10 tuu...! Zinatutosha...![]()
nimekupm bana mmh akii sijakupata dada shangazi gani tena dada upo mmu au chit chatHahaha
Sijaona hata hiyo pm yako...
Shangazi yako kule bhana, watu wanalilia tabia yetu ile eeh
Nimeona asubuhiwe jana si uliaga mapema kwani ulirudi tena
Muwe na mchana mwema...Afu wewe ndio unacomplicate bhana..
Fungua pm kwa dakika 10 tuu...! Zinatutosha...![]()
Binamu lazima apone leoHahaaa...
Dawa yake hiyo..
Nimeona ulivyo kuwa kauzu, kusutwa sio mchezo.....Hahaaa...
Mimi kule nilkuwa nacheka tuu...sijacomment kitu
Mmmmhsasa nimebadili simu mda si mrefu sina picha hata moja ngoja Baba D akirudi akikubali nipige nae picha na akiniruhusu kukutumia nitakutimiapo pm sawa shemela
hahahah wapi hukoNimeona ulivyo kuwa kauzu, kusutwa sio mchezo.....
salama mamy za wwHabari ya weekend
Hahaaashangaa na wewe na watoto wote hawa
Mmmmhhapana aisee ngoja aniruhusu
Mbeya kulikuwa na jambazi maarufu enzi hizo aliitwa Jombi jamaa alikuwa anaenda hadi Sauzi kuibaDuniani kumepita majemedari wa kila aina.
Ama kweli Dunia ni uwanja wa fujo!
nafanyaje sasa anataka picha yangu na leeMmmmh