BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Inasikitisha sanaHatuna mipango
Tunaishi kwa mazoea
.....
Inasikitisha sanaHatuna mipango
Tunaishi kwa mazoea
.....
Pamoja shemejiNawe pia shemeji
Pamoja mkuuNjema mkuu
AmenUbarikiwe kaka
Ahsante mkuuGoodevening mkuu karibu
Thanks BitozEnd![]()
.....
Kila mtu anafanya yake ila tunajikuta tumefananisha tuyafanyayo hivyo kuwa eneo moja! Mwenyewe hapa nafanya yangu ili kuelimika na kutoa stress ila ndo hivyo nimeshakutana na wenye malengo kama yangu humu.Upo sahihi....ila thread zote huanza kwa kasi zen hupungua taratibu na hata kupotea(sitabiri)
Mimi km mbunifu wa huu uzi sikubuni ili kupeana malike bali kupeana "maujanja* na kudumisha urafiki kutokana na watu kukosa sehemu moja ya kukutana
Like zilianza km utani tu wa baadhi ya watu wa mwanzo na kugeuka mazoea!!!
Ila kila mtu afanye lake
............
Karibu mkuuTOP TEN
km kawaida week end hakuna cha siasa wala uchumi ni burudani na umbea tu maana week end huanza Ijumaa
Tukiwa wadogo tulipenda kuwatania watu wafupi kwa kuwaita Andunje japo kuwa jina lao rasmi ni milikimo na pia wazazi wao waliwapa majina rasmi...hawakupenda kabisa kuitwa vile!!!
Kwa Bongo andunje maarufu Alikuwa ni Kistuli enzi akiigiza na akina Mzee Small,King Majuto n.k kupitia DTV ambayo imeishajifia
Pia huko nchini Kongo kwa akina Pepe Kale walikuwepo akina Emollo ila nchi hiyo ina mbilikimo wengi nasikia ni kama kabla
Sasa leo nakuletea watu kumi wafupi zaidi kuwahi kuishi duniani
Yaani nazungumzia watu wazima (18+) maana mtu mzima huongezeka nywele na kucha tu tofauti na watoto
NB:
1 inch = 2.54 Cm
Karibuni
........
KwemaaKwema wotee ??
Uko poa kiongoziKwemaa
Nunua overall la plastic ulitumie kujikinga na mapovu. Au kuwa ngangari tu shemu. Dunia hii ukiwa mnyonge mnyonge utaonewa sana!
Ikibidi tuungane tuwe tunapambana pamoja.

Niko poa mkuu habari ya kutafuta mkateUko poa kiongozi
Husna ya shimba
Mungu amesaidiaaNiko poa mkuu habari ya kutafuta mkate
Uko sahihi mkuu, ila binafsi naona uzi maarufu ni ule uliofuatiliwa sana na kuchangiwa na watu wengi! Kwa sasa sasa nadhani hakuna kama Makapuku! Umaarufu wa mtu ni tofauti na umaarufu wa uzi japo vinategemeana... Ule uzi wa ma-likes unaweza kuwa maarufu ila hauwezi kutoa watu maarufu!
Anajua km unamsubiri?!Mi namsubiri Aganza![]()
Na mm binamu naona replay humu sijui kuna walio iga au ..tujuzaneeGreat point. Unaweza kuwa na likes chekwa lakini usiwe na mchango wa kukumbukwa.
Kuna uzi mwingine wa umeanzishwa kama Makapuku? FYI sio kosa langu kuuliza maana mimi humu huwa wa mwisho kujua kila kitu