Makapuku Forum

Makapuku Forum

2bbca6648885a17b378359aa4dc2478c.jpg
End
.....
Thanks Bitoz
 
TOP TEN
km kawaida week end hakuna cha siasa wala uchumi ni burudani na umbea tu maana week end huanza Ijumaa

Tukiwa wadogo tulipenda kuwatania watu wafupi kwa kuwaita Andunje japo kuwa jina lao rasmi ni milikimo na pia wazazi wao waliwapa majina rasmi...hawakupenda kabisa kuitwa vile!!!
Kwa Bongo andunje maarufu Alikuwa ni Kistuli enzi akiigiza na akina Mzee Small,King Majuto n.k kupitia DTV ambayo imeishajifia
Pia huko nchini Kongo kwa akina Pepe Kale walikuwepo akina Emollo ila nchi hiyo ina mbilikimo wengi nasikia ni kama kabla

Sasa leo nakuletea watu kumi wafupi zaidi kuwahi kuishi duniani
Yaani nazungumzia watu wazima (18+) maana mtu mzima huongezeka nywele na kucha tu tofauti na watoto

NB:
1 inch = 2.54 Cm
Karibuni
........
 
Upo sahihi....ila thread zote huanza kwa kasi zen hupungua taratibu na hata kupotea(sitabiri)

Mimi km mbunifu wa huu uzi sikubuni ili kupeana malike bali kupeana "maujanja* na kudumisha urafiki kutokana na watu kukosa sehemu moja ya kukutana
Like zilianza km utani tu wa baadhi ya watu wa mwanzo na kugeuka mazoea!!!

Ila kila mtu afanye lake
............
Kila mtu anafanya yake ila tunajikuta tumefananisha tuyafanyayo hivyo kuwa eneo moja! Mwenyewe hapa nafanya yangu ili kuelimika na kutoa stress ila ndo hivyo nimeshakutana na wenye malengo kama yangu humu.

Ahsante kuanzisha uzi wenye kila kitu mkuu!
 
TOP TEN
km kawaida week end hakuna cha siasa wala uchumi ni burudani na umbea tu maana week end huanza Ijumaa

Tukiwa wadogo tulipenda kuwatania watu wafupi kwa kuwaita Andunje japo kuwa jina lao rasmi ni milikimo na pia wazazi wao waliwapa majina rasmi...hawakupenda kabisa kuitwa vile!!!
Kwa Bongo andunje maarufu Alikuwa ni Kistuli enzi akiigiza na akina Mzee Small,King Majuto n.k kupitia DTV ambayo imeishajifia
Pia huko nchini Kongo kwa akina Pepe Kale walikuwepo akina Emollo ila nchi hiyo ina mbilikimo wengi nasikia ni kama kabla

Sasa leo nakuletea watu kumi wafupi zaidi kuwahi kuishi duniani
Yaani nazungumzia watu wazima (18+) maana mtu mzima huongezeka nywele na kucha tu tofauti na watoto

NB:
1 inch = 2.54 Cm
Karibuni
........
Karibu mkuu
 
10/Lin Yu Chih
217ad27fa40ae3739ef4fedae050ebe5.jpg
6cd03d12a809312d3c64dd4e5188004e.jpg
Anezaliwa mwaka 1972
Alishikilia rekodi ya mtu mfupi zaidi duniani hadi mwaka 2009 rekodi yake ilipopata mbabe
Ni raia wa Taiwani kutokea jijini Taipei
Ufupi wake umesababishwa na Osteogenesis Imperfects ni ugonjwa unaoathiri ukuaji wa mifupa
Hivyo kutokana na ugonjwa wake akachukuliwa kama subject kwa wagonjwa wengine
Ni mwandishi/mtunzi na pia ndiye Mwanzilishi wa Ostegenesis Imperfecta Foundation
Ana urefu wa Am 67.5 yaani inch 26.6
.......
 
Uko sahihi mkuu, ila binafsi naona uzi maarufu ni ule uliofuatiliwa sana na kuchangiwa na watu wengi! Kwa sasa sasa nadhani hakuna kama Makapuku! Umaarufu wa mtu ni tofauti na umaarufu wa uzi japo vinategemeana... Ule uzi wa ma-likes unaweza kuwa maarufu ila hauwezi kutoa watu maarufu!

Great point. Unaweza kuwa na likes chekwa lakini usiwe na mchango wa kukumbukwa.

Kuna uzi mwingine wa umeanzishwa kama Makapuku? FYI sio kosa langu kuuliza maana mimi humu huwa wa mwisho kujua kila kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom