Makapuku Forum

Makapuku Forum

53554b8cfa1fd022b6351486dc03d586.jpg
71d74c1b8a91d36ebaf806a803c7c062.jpg

Walikuwa wakipinga Apartheid Policy (unyanyasaji waliokuwa wakifanyiwa weusi na weupe/Makaburu)
Mfano ubaguzi wa rangi,Weusi kupewa huduma mbovu huku weupe wakihudumiwafirst class n.k
be7ce46bdf1ad77b669540035c47ca73.jpg
Kila mtu keshawahi kuiona Hii filamu ambayo ni kisa cha kweli kuhusu tukio hilo
......
Mpaka leo wanadai mambo hayajabadilika sana hasa kiuchumi. Mweusi bado anateseka japo nchi ni tajiri kweli kweli!
 
Kuna kitengo cha NASA ambacho kazi yake ni kusikiliza sauti ya jua na kuangalia kwa umakini activities zote na hasa miripuko ya solar flares. Kama zikiripuka kwa wingi na makalikyulesheni yao yakaonyesha kuwa solar wind inaweza kuzisafirisha mpaka huku duniani na zina nguvu kiasi kwamba magnetic field ya dunia inaweza kuelemewa, basi wanajiandaa kuzima sattelites zao za kijeshi na ikiwezekana hata mfumo wa umeme (electric grid) ili kuzuia usikaangwe na na hizo solar flares.

Wanasema kajua ketu haka ndo sasa kameingia ujana na baada ya miaka bilioni 4 hivi ijayo katafikia uzee na kataishiwa na mafuta yake (Hydrogen na Helium). Kama Yesu Atakuwa bado hajarudi basi ndo utakuwa mwisho wa dunia na visayari vilivyo karibu karibu hapo. Hellish ending!
Nimekupata mkuu,somo zuri
 
53554b8cfa1fd022b6351486dc03d586.jpg
71d74c1b8a91d36ebaf806a803c7c062.jpg

Walikuwa wakipinga Apartheid Policy (unyanyasaji waliokuwa wakifanyiwa weusi na weupe/Makaburu)
Mfano ubaguzi wa rangi,Weusi kupewa huduma mbovu huku weupe wakihudumiwafirst class n.k
be7ce46bdf1ad77b669540035c47ca73.jpg
Kila mtu keshawahi kuiona Hii filamu ambayo ni kisa cha kweli kuhusu tukio hilo
......
Naipenda sana.

Hali ya weusi ni ngumu,na hata mahusiano,neighbourhood ni ngumu,yaani ikitokea mtu mweusi kabahatika kupata uwezo wabkuishi maeneo weupe wanaishi anapata shida sana...hawaamini na hawako tayari mweusi afanikiwe,afanane nao....maombi ni muhimu hiyo ni roho kamili..ina madhabahu inapaswa ivunjwe...
 
d471b12debef4891fee56f34f088338d.jpg
c78769dc6cfbb4f7e8461ce3a1edb3f7.jpg
a609a89bb42621f0afdbd93b4cc0da29.jpg
Ni kanchi fulani kutoka Asia kasikojulikana lakini kenye maamuzi ya akili
Afya kwanza kodi baadaye....yaani unachukua kodi za sigara halafu baadaye tena unahangaika kutibu walgonjwa wa kansa
......
Maamuzi ya faid, ambayo huku kwetu hayawezi kufanyika. Sana sana wanategemea kodi za Sigara ili kuendeshea serikali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom