BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
[quote uid=434562 name=" post=21653771]tuanzisheni vitengo kama makapuku. awepo wa kutuletea magalazeti nyimbo na hadithi[/QUOTE]<br />Hahaha anza mkuu
liverpoolBaba anashabikia timu gani![]()
![]()
sawa mke mweeSafari nyingine uwe makini lasivyo ntakushaki![]()
![]()
![]()
![]()
tumekusamahe
nashkuru jamaan mbarikiwe sana
nashkuru shemela kwa kunielewa we na mkeo mbarikiweUsijali shemela
kweli kabisaUmaarufu wa mtu au uzi unarokana na kilichoandikwa na siyo wingi wa like alizonazo mtu
Yaani maneno yako ndo hukaa moyoni kwa mtu likes zako hukaa kwenye profile tu pengine kwenye list ya Top 20
Pia uzi unaweza kuwa na post nyingi kila siku lakini ukafuatiliwa na wachache yaani Kusubscribe mfano nyuzi za The Bold zinafuatuliwa sana kule Jukwaa la Intelligence
Mtu unaweza kuwa na post nyingi na kuwepo kwenye list ya most posts lakini ukazidiwa umaarufu na asiyekuwepo kabisa kwenye list
Mtu unaweza kuwa na maLIKE mengi pengine kunizidi mimi lakini usiwe maarufu
Kwangu mimi hii thread imenisaidia kujifunza mengi pamoja na kupata marafiki wengi hadi kushirikiana nje ya JF.....
Hivyo uzuri wa thread ni kile kilichomo/kinachoandikwa na siyo wingi wa post
..........
ni liverpool mama mchuchu
ni kweli mama shemela shululu hanaga shida kwakweliNaamini amekusamehe namwamini shemeji yako Shululu hana makuu
Barikiwa mumy

ila mama mchuchu watu tupo tofaut kama ni mumeo mmeapa kwa shida na raha me naweza fanya jamaanNitalipa hakika atoke dunia ya leo watu wanapenda vitu kuliko watu ukweli Mungu alituumba ili tupende na kupendwa ila mambo yamebadilika sana Mungu atusaidia after all hata hiyo bahati nasibu Mungu kakupa ndio mlango wa gereza umefunguka inabidi kusoma alama za nyakati Mungu hutumia watu kutufungua![]()
Upo sahihi....ila thread zote huanza kwa kasi zen hupungua taratibu na hata kupotea(sitabiri)Uko sahihi mkuu, ila binafsi naona uzi maarufu ni ule uliofuatiliwa sana na kuchangiwa na watu wengi! Kwa sasa sasa nadhani hakuna kama Makapuku! Umaarufu wa mtu ni tofauti na umaarufu wa uzi japo vinategemeana... Ule uzi wa ma-likes unaweza kuwa maarufu ila hauwezi kutoa watu maarufu!
Safari ya kufikia ndoa ni ndefuila mama mchuchu watu tupo tofaut kama ni mumeo mmeapa kwa shida na raha me naweza fanya jamaan
Hatuna mipangoNa bado hawajatetereka wamefika mahali wana nyumba zinahimili na kupunguza Athari za maafa huku kwetu tunafahamu kabisa maeneo yenye uwezekano mkubwa wa kukumbwa na matetemeko mafuriko lakini hata uokoaji ni duni leave alone materials zinazotumika kujenga infact hatujifunzi!!
ndefu sana mama mpaka ujue huyu ni mume sahihi kwangu au mke sahihi kwangu ni kumuachia Mungu tuSafari ya kufikia ndoa ni ndefu
Shukrani kwa somoJapan na Indonesia zimo katika ile inaitwa "The Ring of Fire" yaani mipaka ambamo tectonic plates ama zinakutana (convergence zones) au zinaachana (divergence zones); na hata kupishana. Mabadiliko ya ghafla ya presha yanayotokana na misuguano ya plate tectonics hizi ndiyo husababisha mavolkeno makali na matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara katika mataifa yote yaliyo katika ukanda huu wa moto. Na matetemeko makali yanapotokea baharini na kuinua sehemu ya bahari tunapata tsunami kama ile iliyoua maelfu ya watu mwaka 2004 Indonesia na ile ya mwaka 2011 iliyoharibu mpaka mitambo ya vinu vya nyuklia vya Fukushima kule Japan.
Wajapan pia ndiyo wanaongoza kwa teknolojia ya kupunguza madhara ya matetemeko haya. Maghorofa yao kwa kawaida huwa hayavunjiki wakati wa tetemeko bali hunesa nesa kama mwanamwali mrefu aendaye kwa mumewe. Na vifaa vyao vya kiseismolojia ni bora kabisa kiasi kwamba vinaweza kuhisi hata mmwagiko wa kifusi cha mchanga kinapodondoshwa na tingatinga, na inasemekana wapo karibu kugundua jinsi ya kutabiri kwa usahihi wa kuridhisha kuhusu utokeaji wa matetemeko hayo.![]()
Goodevening mkuu karibuGood evening Mkapuku