shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee10/Lin Yu Chih
Anezaliwa mwaka 1972![]()
Alishikilia rekodi ya mtu mfupi zaidi duniani hadi mwaka 2009 rekodi yake ilipopata mbabe
Ni raia wa Taiwani kutokea jijini Taipei
Ufupi wake umesababishwa na Osteogenesis Imperfects ni ugonjwa unaoathiri ukuaji wa mifupa
Hivyo kutokana na ugonjwa wake akachukuliwa kama subject kwa wagonjwa wengine
Ni mwandishi/mtunzi na pia ndiye Mwanzilishi wa Ostegenesis Imperfecta Foundation
Ana urefu wa Am 67.5 yaani inch 26.6
.......
