Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Leo Katika Historia:
1896 - Tsunami kubwa yaikumba Japan na kuua watu takribani 22,000.
......
Leo Katika Historia:
1896 - Tsunami kubwa yaikumba Japan na kuua watu takribani 22,000.
Ha hahahhahahahah
Utakumbuka wapi wakati SS ulikuwaga unafata biskuti na bazoka tuuuu

Basi hapo kiroo safiiiEhh! Obe tu linatosha hayo mengine wananiitaga watu wa mataifa, ila wewe hilo moja tu linatosha wasikutie najisi

MmmmhHawajajua kabisa hilo shukuru, yaani mimi ndo naonekana zaidi kwa kuwa nimeshika mapembe , kumbe wewe umetulia unakamua tu tena kiulaini kabisa. Hii dunia haiko sawa kabisa wallah

1919 - John Alcock na Arthur Brown wanakamilisha safari yao ya kwanza ya kuruka na ndege bila kutua kusimama katika bahari ya Atlantic na kutua Ireland.
AkaaaMtawa
Kwema anko, kumekucha salama na kama kawaida ule msala wa yule kanikia wako nimeusolve kibabe

Asante kwa kuyapitia mama mchungajiAsante sana kwa magazeti Mkuu Shululu![]()
Pamoja sana mkuumkuu asante kwa magazeti, ubarikiwe..
Nzuri mkuu, za kuadimikaHabari habari
AiseeYeah, kanitumia meseji! Umefanya vizuri hebu fikiria wale wahamiaji haramu wangekuona umeleta nyama kwa mamaaa si wangeweka matangazo hadi kwenye gazeti la Annur
Pamoja sana shemejiAsante mkuu
Sawa sawa ngoja tupumzike kwa kupata salamu za wadhamini wetu ACASIACIA
![]()

Kama ni hivo ujue na mm kwa kile kifaa chako kipya pale kona ntayakoroga make juz kanisimamisha ananiuliziaa muuza chapatiii nkasema ni uteja tu
Aunt yako ujue anakupenda sanaa

Sipati picha ya mkamuaji aiseeHawajajua kabisa hilo shukuru, yaani mimi ndo naonekana zaidi kwa kuwa nimeshika mapembe , kumbe wewe umetulia unakamua tu tena kiulaini kabisa. Hii dunia haiko sawa kabisa wallah