Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning mkuu ...

Hope unataka maoni kuhusu lukaku ??

Maoni yangu tanaweza kujikita kwenye ushabiki na uhalisia ila yote ikaletea maana ...kwanza kabisa Lukaku ni moja wa wamaliziaji wazuri hasa mipira ya mwisho na apa ndo utamtofautisha yeye na Costa hasa uzuri wake unanoga kwa kuwa na uwezo wa kukokota mpira na guu lake la dhahabu na nguvu zake alizonazo ...huwezi kumzungumzia Lukaku bila kumzungumzia Jose M huyu baba wanayemuita master mind japo mm yupo kwenye list ya makocha bora kwangu popote alipo

...alichokianza Conte ndicho anachokimaliza Lukaku make Costa mbali na kuwa na msimu mzuri lakini lazima aangalie upande mwingine japo na darajan bado panamfaa ...

Anachojaribu kukifanya Conte ni kuwa na mshambuliaji tegemezi na wa kutegemewa kila mara hii costa amekikosa japo mchango wake ni mkubwa

Bwaaaaanaaaaaah pembeni akae William uku hazard katikati mzee wa pasiii lukaku utampenda ...anatulizaa anafinya kambaniiiiiiii

Moja ya kitu kinachoweza kumsaidia lukaku ni kutaka kumuonesha yule bilionea A kuwa yeye darajan ndo panamfaa japo yule mzee aliona hapamfaii ......

Karibu lukaku panakufaa sana ...


Lakini vipi costa najua utaniulizaaa ...

Twende sawa kiongoziii Jose Mourinho alifanikiwa kutimiza ndoto za Adebayor na Essien kwenda Madrid....
Mourinho akafanikiwa kumrudisha Matic Chelsea...... Jose huyo huyo akafanikiwa sana alipokuwa na muitaliano mweusi Mario Ballotel pale Inter Milan....... Mourinho huyo huyo aliweza kuwagawa waspain ndani ya Real Madrid....... Jose huyo huyo akafanikiwa katika kuuangusha ufalme wa Icar Cassilas pale Bernabeu..... Na sasa kafanikiwa tena kuuangusha ufalme wa Zlatan Ibrahimovic pale Manchester united.

Kama alifanikiwa kwa Emanuel Adebayor na Michael Essien pale Madrid...... Unaweza kushangaa kufanikiwa kwa Diego Costa kuvaa jezi ya United Msimu kesho...? Mourinho ni mwanadamu anayejielewa yeye mwenyewe na baadhi kama mimi na wewe ndio tunaweza kumuelewa....japo ni muhumin sana wa kile anachokiamini na hapa ndo lukaku anajaribu kumuonesha mzee falsafa zake mda mwingine zinafell

Meseji ile ya Conte kwa Costa hope ilikuwa faraja kwa Lukaku ns Jose Mourinho wake ila tkumbuke mda nao una majibu sahih
Asante kwa uchambuzi murua
 
0f72688800427a0a2849d036b2a6dadc.jpg
Waleeeeteeeeeeee
 
ZABURI 27

1.BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? BWANA ni ngome ya uzima wangu nimhofu nani?

MUNGU AWABARIKI SIKU ZOTE ZA MAISHA MKIMTANGULIZA YEYE SIKU NJEMA
Bwana ndiye mchungaji Wangu sitapungukiwa na kitu kando ya maji ya utulivu huniongoza.......

Mama BH nimekumbuka huo msitari hapo juu ila cjui unatoka kitabu gn tuliwai kusomaga sunday school enzi niko mtoi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom