Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aunt yangu Shunie uongo dhambi ananipenda sema tu wewe ndo unanichonganisha naye, na bora anasikiaga tu habari za Cheusi, siku wahamiaji haramu wakimletea habari zako za yule teller wa pale kotaz si atanisingizia mimi?

tumblr_mubw47LCIG1sh6py2o2_400.gif
 
Yeah, kanitumia meseji! Umefanya vizuri hebu fikiria wale wahamiaji haramu wangekuona umeleta nyama kwa mamaaa si wangeweka matangazo hadi kwenye gazeti la Annur
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatri lakini salama
 
Back
Top Bottom