Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ingekuwa hatarii lakini uzuri wanajua wewe ndo uwa unanituma nipeleke ...na wote hawajang'amua pale kwa cheus nani Acacia nani Barricks ...


Hawajajua kabisa hilo shukuru, yaani mimi ndo naonekana zaidi kwa kuwa nimeshika mapembe , kumbe wewe umetulia unakamua tu tena kiulaini kabisa. Hii dunia haiko sawa kabisa wallah
 
Hawajajua kabisa hilo shukuru, yaani mimi ndo naonekana zaidi kwa kuwa nimeshika mapembe , kumbe wewe umetulia unakamua tu tena kiulaini kabisa. Hii dunia haiko sawa kabisa wallah
Watajulia wapi binamu make hizi tikitaka zinavyopigwa wee nomaaaa ila nahsi mm na wewe hatuaminianii ...cheusi ulimwambia nn kwanza
 
dc600a3fcaedb89360cd1050e7ed377b.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom