Makapuku Forum

Makapuku Forum

si uwaambie au ukatoe lalamiko wengi wanalalamika hili tatizo wanaotumia jf app
Mimi pia nilikuwa nalo nikalalamika baada ya siku moja zikarudi. Sijui kama ni concidence au kama mods walifanya kitu.

Kama unatumia app, nenda kwenye settings ya simu => apps => JF ukasafishe data kabisa kabisa. Kisha log in na hakikisha push notifications unazotaka ziko on. Ikishindikana unaweza ku-uninstall hiyo app halafu zima simu kwa muda hivi. Ukija kuiwasha install app upya, put on notifications halafu uone. Kuna mtu aliniambia nikafanya hivyo na notifications zikarudi sasa sijui kama hii ilisaidia au ni mods walirekebisha...
 
Mimi pia nilikuwa nalo nikalalamika baada ya siku moja zikarudi. Sijui kama ni concidence au kama mods walifanya kitu.

Kama unatumia app, nenda kwenye settings ya simu => apps => JF ukasafishe data kabisa kabisa. Kisha log in na hakikisha push notifications unazotaka ziko on. Ikishindikana unaweza ku-uninstall hiyo app halafu zima simu kwa muda hivi. Ukija kuiwasha install app upya, put on notifications halafu uone. Kuna mtu aliniambia nikafanya hivyo na notifications zikarudi sasa sijui kama hii ilisaidia au ni mods walirekebisha...
Sakayo na mumeo panawahusu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom