Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
mh kwa nini roho inauma tuHata mie nahisi siko poa
mh kwa nini roho inauma tuHata mie nahisi siko poa
Yupi sasa, maana shedede umemkataa
Ngoja nijaribu shemMimi nilikuwa nikitumia WiFi napata notification, nikirudi tu kutumia data za kwenye simu nakuwa sipati
kunywa balimi binamu...., koh koh koh, nina kikohozi nataka kusikika
Kama ulikuwepo mdogo wangu, ndo ninavyo hisimh kwa nini roho inauma tu
Haya shemNgoja nijaribu shem
Siyo tu wabayaIla wazungu wabaya sana aisee
aisee pole sana usiwaze chochote dada uwe na amani usiiruhusu hiyo hali na usikae peke yako jichanganye na watuKama ulikuwepo mdogo wangu, ndo ninavyo hisi
Connection siyo kwamba ni nguvu ya uvutano tu huyu mkubwa anamvuta huyu, huyu naye anamvuta huyu?
Niko interested sana na mambo haya kwani kupitia kwayo huwa nauona utukufu na uwezo wa Mungu live; na huwa hainiingii akilini kabisa kuwa mifumo yote hii tata na iliyopangwa kwa ustadi wa ajabu eti imetokea tu by chance!
![]()
![]()
tugawane maumivu binamu kanishinda shemela
Kwa raha zanguNaona unafuraaaai mwenyewe
Hamjui tu mnavyonipa maumivu humu, yaani mngekuwa mapera ningewauza sema sasa sijui nitapata wapi mbegu za mapera😀😀😀😀
Nawapenda sana makapuku wenzangu, sili nikashiba
tunakupenda mnoooo binamu yetu jaman hujui tuKwanini sasa anajificha?Pia mimi huwa nasema kabisa Mungu yupo
Aaa wapi. Kubabaishana tu. Isitoshe huyu ni mke wa USA Baby kama sikosei. Ukimkorofisha mumewe akija mabomba ya kimombo (na lugha ya dharau) utakayopigwa hutakaa usahau maishani mwako. Usivione vyaelea shemu, watu wameunda!
shemu unaogopa kuambiwa"gaddemuu"
Siamini kabisaSina mume mm
Nimejibu tu![]()