Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Zimbabwe
0ca20fa58ef459874189eb034d52b4b7.jpg
4c10b105da395aad1707fff62106a393.jpg
074c259cad429fe0275a518541d3fc26.jpg
Hii ndo nchi maskini # 2 barani Afrika kiasi cha kutoka kurejea kwenye Barter Trade (nipe almasi nikupe mbuzi) ila ikaamua kuanza kutumia dola ya Marekani na Rand ya Sauzi maana pesa yao imeporomoka hatari
Mgodi maarufu unamilikiwa na kuendeshwa na Rio Tinto
Almasi ya Komredi Mugabe hufikia hadi thamani ya USD 540 Milioni kwa mwaka
Huzalisha Carats 10,400,000 kwa mwaka
.......
Asantee balozi Bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom