Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Hakuna kutafuna 





Hongera yakeWanawake wote wangekuwa hivi duniani pangekuwa mahali pazuri sana pa kuishi!![]()
Mbona shunie wangu hana shidaMfunde Shunie aache bifu za kitoto na akina Cheusi Mangala aka Mama K...♂️
♂️
♂️
basi msambaa mie tofautiBasi subiri siku Cheusi Mangala atakapokuja kutambulishwa rasmi kwako akiwa na L. junior (K. mdogo wa D). Patachimbika eeeh!? Ila wanawake wa Kisambaa hawajulikani kwa ukali. Ingekuwa Mara kule tungekuwa na wasiwasi!
Basi hupaswi kumpandishia presha shangazi yako.Sijagombanisha, hawa ni wajomba zangu kabisa
kwani ulikuwa wapiAya sasa nimerudi
Baba D hapa umemaanisha niniYa tazara pasipo michepuko unakata tamaa
hivi Baba D unanitafuta nini jamaan kwahiyo nikikufwa kumbe utafurahi

mmhNyodo wapi kipindi hiki ??
..nisharekebisha si unaona nimeibua ishu ya wahamiaji haramu. Sasa hivi ndo itakuwa hot topic, wewe nenda kasawazishe




Nahisi fakalava atakuwa kamfichaUlipaswa ujue alipo
Usijali shem, nipo na wewe katika kukusaidia.shemela Emmy nimekupenda bure jamaan ujue wanaona rahisi kutaka kuvunja ndoa ya watu hawajui me na lee tumeijenga vipii mpaka tupo hapa mangapi tumevumiliana Mungu akutunze shemela
Alafu waliniita hiyo siku bahati mbaya wewe ukachukulia silias
sina shida ya nini Baba DMbona shunie wangu hana shida
Obe kaua kabisa![]()
shemela