Makapuku Forum

Makapuku Forum

nisijue Baba D nijue unanisaliti lakini nisijue huyo mwanamke nitaua jamaan
Mbona usiwe kama huyu mwenzio hapa? Kuna ubaya gani?
1d1d4f7718d038db651adc109fd05224.jpg
 
Hata wengine biashara tunazo; na tunatambua kuwa muda ni mali bali tunaomba tu uwe unakaa kaa hapa japo kwa muda kidogo ili angalau uweze kujibu madukuduku ya wapendwa wako. Hii kuja na kukimbia wala haipendezi! Halafu avatar naona zinazidi kuwa "tamu" kila kukicha. Safi sana!!!
Kwa avatar tu hajambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom