Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Usimsikilizeeeemashahidi wakina naniiii anijibu me Baba D ndio ninayemwamini
Mimi nakupendaa wewe mama D ...
Usimsikilizeeeemashahidi wakina naniiii anijibu me Baba D ndio ninayemwamini
Njia kuu ielekeayo nyumbani kwenye ile fursa kuu ni moja tu. Ifuate!Ha ahhahahaha, hata mwezi bado oh tangu muoane eeh kelele kila siku ndani ya nyumba yenu mamaaeee.
Hata hivyo ni fursa nzuri kwa Makapuku wengine



Binamu nahisi alipo kashachanganya gearbinamu yako obe
kwahiyo ni kweli kulikuwa na cheusi mangalaBinamu mengine wewe sijui unayatoa wapi , unamjua mama D alivo na moyo mpana
Binamu cheusi wako kanishinda
utapenda wangapi Baba D na vyeusi mangala piaUsimsikilizeeee![]()
![]()
![]()
Mimi nakupendaa wewe mama D ...
Cheusiii wakeeeeee sio wangukwahiyo ni kweli kulikuwa na cheusi mangala
![]()
mke mwee umenichekesha sana yaan napenda sana gold jamaan aisee pedeshee lee ataninunulia mke mwee

utapenda wangapi Baba D na vyeusi mangala pia
vyeusi ujue ni vya binamu na nimesikia na mme mweee anavipendaaAtatuambia tu ucjali![]()
mke mwee ebu mwambie atuambie
Binamu me sitaki jaman hizi habari za cheusi mangalaSijagombanisha, hawa ni wajomba zangu kabisa
Hata wengine biashara tunazo; na tunatambua kuwa muda ni mali bali tunaomba tu uwe unakaa kaa hapa japo kwa muda kidogo ili angalau uweze kujibu madukuduku ya wapendwa wako. Hii kuja na kukimbia wala haipendezi! Halafu avatar naona zinazidi kuwa "tamu" kila kukicha. Safi sana!!!![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja niendelee na biashara zangu maana muda ni mali
Baba D ujue mie nina moyoCheusiii wakeeeeee sio wangu
Alikuwa ananiomba simu aongee nae hajamwachia matumizii
Sasa kama unalitambua hilo kwa nini cheusi mangala hujamwachia pesa leoSijagombanisha, hawa ni wajomba zangu kabisa
![]()
![]()
vyeusi ujue ni vya binamu na nimesikia na mme mweee anavipendaa
na shemela tena mke mwee ukujeutapenda wangapi Baba D na vyeusi mangala pia
Hata wengine biashara tunazo; na tunatambua kuwa muda ni mali bali tunaomba tu uwe unakaa kaa hapa japo kwa muda kidogo ili angalau uweze kujibu madukuduku ya wapendwa wako. Hii kuja na kikimbia wala haipendezi! Halafu avatar naona zinazidi kuwa "tamu" kila kukicha. Safi sana!!!

Kwanza mawazo hayo ya kuivunja sijui kuibomoaa yamepatikana wapiishemela Emmy nimekupenda bure jamaan ujue wanaona rahisi kutaka kuvunja ndoa ya watu hawajui me na lee tumeijenga vipii mpaka tupo hapa mangapi tumevumiliana Mungu akutunze shemela