Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Binamu cheusi wako kanishinda
.....muache tu , wewe si ulijitabulisha kuwa ni papa mutu ya peremende mtama kwa watoto. Usimpe Kodi ya nyumba mwezi ujao
Binamu cheusi wako kanishinda
Njia kuu ielekeayo nyumbani kwenye ile fursa kuu ni moja tu. Ifuate!![]()
Ila wewe ndo unamfatilia sana cheusi mwenzaBinamu me sitaki jaman hizi habari za cheusi mangala
Ni kicheko cha heri hiki?
Najuaa na ulishawah kutanukaaBaba D ujue mie nina moyo
Ndio![]()
na shemela tena mke mwee ukuje
Binamu me sitaki jaman hizi habari za cheusi mangala
kwahiyo ukaamua kumwachia wwSasa kama unalitambua hilo kwa nini cheusi mangala hujamwachia pesa leo
aisee binamuAnakupenda wewe peke yako, wote tunajua na wewe unajua. Acha woga, wale majirani wote pale ni wahamiaji haramu , usiwaamini
Anakupenda wewe peke yako, wote tunajua na wewe unajua. Acha woga, wale majirani wote pale ni wahamiaji haramu , usiwaamini

huoni Binamu anavyoongeaKwanza mawazo hayo ya kuivunja sijui kuibomoaa yamepatikana wapii
Binamu cio mtu mzuri kwa kweliau binamu anajua me robot mke mwee
Hata wengine biashara tunazo; na tunatambua kuwa muda ni mali bali tunaomba tu uwe unakaa kaa hapa japo kwa muda kidogo ili angalau uweze kujibu madukuduku ya wapendwa wako. Hii kuja na kukimbia wala haipendezi! Halafu avatar naona zinazidi kuwa "tamu" kila kukicha. Safi sana!!!
nimecheka sana binamu.....muache tu , wewe si ulijitabulisha kuwa ni papa mutu ya peremende mtama kwa watoto. Usimpe Kodi ya nyumba mwezi ujao

simfatilii mie binamu ndio anaanzishaIla wewe ndo unamfatilia sana cheusi mwenza
kwahiyo unataka nikufweNajuaa na ulishawah kutanukaa
Lakini kumbuka tulikubariana nn.....muache tu , wewe si ulijitabulisha kuwa ni papa mutu ya peremende mtama kwa watoto. Usimpe Kodi ya nyumba mwezi ujao
shemela shululu na ww piaNdio
Inakuwaje hujui aiseeKanikimbia sijui yuko wapi kwa sasa?