Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Unadhani me nazipenda , la hasha, nazichukia sana. Sizipendi hata kidogo, zinakarahisha

Unadhani me nazipenda , la hasha, nazichukia sana. Sizipendi hata kidogo, zinakarahisha

Heri kabisaNi kicheko cha heri hiki?
Lakini kumbuka tulikubariana nn
Hebu mtafute cuzoonamuona
Unabariki tenasawa we changamkia fursa
Binamu kwanza usiamini anachokisema mimi huwa namsaidia tu kutimiza wajibu wakehuoni Binamu anavyoongea
huyu binamu mke mwee hafai acha mama mchuchu amkataeBinamu cio mtu mzuri kwa kweli
Salama kabisa, tupo mkuuSalama lakini humu ndani!?
Kwa hiyo unataka ufe nibaki na cheus aukwahiyo unataka nikufwe
wenye mioyo yao
me tutagawana majengo aisee ya serikaliSasa si amnunuliemmh si ulikua unachangamkia fursa cuzo nahis hana simu si kawaida hii
hahahhahaInakuwaje hujui aisee
Baba D kasema hamnaMama K![]()
![]()
![]()
wenger njaa tu hapati kitu pale mkuuWenger anamchukua
Shindwa pepo la vyeusi mangala![]()
![]()
vyeusi ujue ni vya binamu na nimesikia na mme mweee anavipendaa
cuzooo ujue hayupo toka siku ile shemela atakuwa hana simuHebu mtafute cuzoo
Inabidi tu umuaminibinamu siamini ujue
nafanyaje tena mwanaume hafungwi shemelaUnabariki tena