Makapuku Forum

Makapuku Forum

e3ca661be203db5911c26df4d00201f0.jpg
Ngoja nifikiche macho nione vizuri
 
1/China
af4383b093333f1a66b13e5caa199071.jpg
3046216921d8b5b6331c8ee8c4a25e35.jpg
137c4053b9b65997838cbb2bf98c5f40.jpg
Huyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimbwa Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........

Shukrani Mkuu.
 
Wewe Shunie sasa pumzika toka asubuhi upo JF tu.

hivi eenh niliingia asubuhi au mchana halaf bundle unaninunulia ww au
Unaweza kukuta mtu mwenyewe hana nyuma wala mbele
Anafikiri kila mtu lazima ashinde ofisini tu au shambani.....wengine tunafuga mbuzi , wengine wamerithi tu mali hivyo hawahangaiki
Samtaimu watu km hao hawastahili hata kujibiwa!!!
d022abc509c7ddf9c0a99652eafae9b5.gif

Kila ntu aishi maisha yake
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom