Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unaweza kukuta mtu mwenyewe hana nyuma wala mbele
Anafikiri kila mtu lazima ashinde ofisini tu.....wengine tunafuga mbuzi , wengine wamerithi mali hivyo hawhangaiki
Samtaimu watu km hao hawastahili hata kujibiwa!!!
d022abc509c7ddf9c0a99652eafae9b5.gif

........
kweli aisee nimekosea sana kumjibu
 
Hawa jamaa wana karibu kila kitu vikiwemo mafuta, Uranium na madini mengine adimu. Tatizo lao ni kwamba hawataki kuchimba na hata kutumia ya kwao. Yao wanaweka akiba for the rainy day(s) huko mbele ya safari na kazi yao ni kuchukua ya wengine ikibidi kwa nguvu. Fort Knox kule nasikia wana dhahabu kibao na ndiyo hasa nguvu ya uchumi wao.
Hao ndo Wamarekani
Hata vita hupendelea kupigania kwenye ardhi za wenzao huku ardhi yao iking'aa bila kudondokewa hata na tone moja la damu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom