Makapuku Forum

Makapuku Forum

I,mzeewakungoa,here under submit an official apology to my dada Shunie for inadequately questioning her marital status.I am highly aggrieved for those who may be hurt by my inappropriate behavior including my dada Shunie and Rafiki kipenz Lee and I promise that such behavior will be not repeated.


Mmmh, hiki kingereza kirefu hivi ni apology tu au unataka kuomba mkopo.

Sisi tunaomba msamaha kiukweli NSA (no string attached) tunasemaga sorry then we offer a drink or two
 
Ushasema "Jamaa Mfaransa"
Mihimili mitatu yote ipo dunia nzima tatizo ni Mihimili mmoja tu yaani Bunge kujaa wapuuzi ambao wanatanguliza maslahi ya vyama badala ya kuisimamia serikali na kutetea wananchi ndiyo maana wanachezewa na Rais

Km huamini Jaji Mkuu/Mahakama ina nguvu sawa au pengine kumzidi Rais mwambie Sizonje amteue Jaji Mkuu uone km atakuwa anaichezea Mahakama na kutoa vitisho
Yeye siyo mjinga kumuweka tu Kaimu Jaji Mkuu maana anajua ndo pona yake na wabunge hao hao wana uwezo wa kumuondoa Rais km anakwamisha Katiba mpya
Tatizo kuu la Tz ni katiba mbovu na wabunge mbumbumbu/wasio wazalendo
............


Hapa kwa ulichoandika sijui hata niongeze nini? It's tu kusema kuwa mihimili mingine ukiacha ule wa Magu inaongozww na walamba viatu wasio na uwezo wa kujitambua wao binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom