Makapuku Forum

Makapuku Forum

4ed25fcd7b1e1416de1db6a1751cc7d7.jpg
 
Asante mkuu..!

Ila kuna jamaa mfaransa anasema ile mihili 3 ni kiini macho tuu hasa kwa katiba kama Tz..

Kwa katibu kama Tz,

Rais.
Bunge.
Mahakama.

Hebu anangalia influncial power ya Rais kwa mahakama, kuanzia jaji mkuu hadi huko chini yeye ndio anaamua nani awe nani..

Ukienda bungeni kuna cabinet na wabunge wake wa rulling party..

Bado uhitaji wa Mabadiliko ya katiba ni mkubwa...
Ushasema "Jamaa Mfaransa"
Mihimili mitatu yote ipo dunia nzima tatizo ni Mihimili mmoja tu yaani Bunge kujaa wapuuzi ambao wanatanguliza maslahi ya vyama badala ya kuisimamia serikali na kutetea wananchi ndiyo maana wanachezewa na Rais

Km huamini Jaji Mkuu/Mahakama ina nguvu sawa au pengine kumzidi Rais mwambie Sizonje amteue Jaji Mkuu uone km atakuwa anaichezea Mahakama na kutoa vitisho
Yeye siyo mjinga kumuweka tu Kaimu Jaji Mkuu maana anajua ndo pona yake na wabunge hao hao wana uwezo wa kumuondoa Rais km anakwamisha Katiba mpya
Tatizo kuu la Tz ni katiba mbovu na wabunge mbumbumbu/wasio wazalendo
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom