Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
TupoNawaona nawaona!
TupoNawaona nawaona!
Tena mtoto wa kwanza huwa anaZingua hataree![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan
hahhahahPole yao
Leo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.

Kumbuka mihimili mitatu ya dola(organs of the state) niBasi ili tumwamini magufuli Katika hili aliamuru bunge kutengua kinga za kutoshtakiwa za marais wastaafu kama alivyomwamuru spika kuendelea kuwapa kibano wapinzani pâle bungeni
Kama hili halitafanyika basi hakuna vita y'a uchumi hapa tunazugana tu
....kwa kuwa nimedhamini magazeti leo kwanza nashukuru halafu namtaka kila Kapuku anywe chai na chapati kwa hela yake.
Good morning good people.
kila ukinichekesha nitakupa UA hata km utayaita mishumaa

Eeeh! Kama mimi vile...![]()
![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan
....kwa kuwa nimedhamini magazeti leo kwanza nashukuru halafu namtaka kila Kapuku anywe chai na chapati kwa hela yake.
Good morning good people.
we binamu vipiii mbona unakimbia kulipa
hata mimiEeeh! Kama mimi vile...
Firstborns huwa traits tofauti kabisa...

Asantee..Kumbuka mihimili mitatu ya dola(organs of the state) ni
1/Serikali/Rais/Mawaziri{Executive)
Kazi ya serikali ni kutoa huduma kwa wananchi,kujenga barabara n.k
Serikali pia inawajibika kuwalinda raia na mali zao
2/Binge {Legislature)
Kazi yake ni kuisimamia serikali na kutunga sheria
3/Mahakamani(Judiciary)
Kazi yake ni kuzisimamia shera yaani kuhakikisha hali na usawa katika kuhukumu
Sasa basi....
*Rais hawezi kulishinikiza bunge maana anatenda kinyume cha katiba ingawa anaruhusiwa kulivunja bunge
Vitisho vyake kwa wabunge ni mipasho tu
*Wabunge wanaweza kumuondoa Rais kwa kupiga kura ya kutokuwa na Imani naye(vote of no confidence) lakini hawana ubavu wa kumzingua Rais kwa suala lolote
*Rais hawezi kuishinikiza mahakama ama Jaji Mkuu kufanya jambo fulani mfano "wafungeni mafisadi"
*Rais hawezi kumfuta kazi Jaji Mkuu wala Spika wa Bunge
*Jaji Mkuu anaweza kumfuta kazi Rais iwapo bunge limepiga kura ya kutokuwa na Imani naye
Hivyo basi unapotaka kuongelea majelele ya rais kwa bunge au sijui awaambie wabunge wabadili kinga ni kupoteza muda
Ukifunze kujua majukumu ya mihimili mitatu ya dola na mipaka yake
Tundu Lissu anaonekana kichwa sababu tu anajua sheria
Niwatakie siku njema
.........,
Kwani mimi na wewe washawahi kutuona kaole sanaa group??au Baba D tukiact kuna mtu wa kutulipa jamaan
Na wewe ni kifungua njia?hata mimi![]()

Ila anaiga kwako![]()
![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan
Ni vizuri kuelimishana kuliko kushushuanaAsantee..
Naona una toa elimu kwa kizazi kipya..
Manake hawa watoto wa juzi juzi hawajui katiba mkuu
Ila D kazidiEeeh! Kama mimi vile...
Firstborns huwa traits tofauti kabisa...
Sasa mitoto ya stail hiyo unakuta mchana analala tuu..![]()
![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan


Bhinamu yako shida kweli![]()
we binamu vipiii mbona unakimbia kulipa
Short and clear mkuuKumbuka mihimili mitatu ya dola(organs of the state) ni
1/Serikali/Rais/Mawaziri{Executive)
Kazi ya serikali ni kutoa huduma kwa wananchi,kujenga barabara n.k
Serikali pia inawajibika kuwalinda raia na mali zao
2/Binge {Legislature)
Kazi yake ni kuisimamia serikali na kutunga sheria
3/Mahakamani(Judiciary)
Kazi yake ni kuzisimamia shera yaani kuhakikisha hali na usawa katika kuhukumu
Sasa basi....
*Rais hawezi kulishinikiza bunge wala wabunge maana anatenda kinyume cha katiba ingawa anaruhusiwa kulivunja bunge
Vitisho vyake kwa wabunge ni mipasho tu
*Wabunge wanaweza kumuondoa Rais kwa kupiga kura ya kutokuwa na Imani naye(vote of no confidence) lakini hawana ubavu wa kumzingua Rais kwa suala lolote
*Rais hawezi kuishinikiza mahakama ama Jaji Mkuu kufanya jambo fulani mfano "wafungeni mafisadi"
*Rais hawezi kumfuta kazi Jaji Mkuu wala Spika wa Bunge
*Jaji Mkuu anaweza kumfuta kazi Rais iwapo bunge limepiga kura ya kutokuwa na Imani naye
Hivyo basi unapotaka kuongelea majelele ya rais kwa bunge au sijui awaambie wabunge wabadili kinga ni kupoteza muda
Ukifunze kujua majukumu ya mihimili mitatu ya dola na mipaka yake
Tundu Lissu anaonekana kichwa sababu tu anajua sheria neno kwa neno na kesi zote anaisumbua serikali
Niwatakie siku njema
.........,
