Makapuku Forum

Makapuku Forum

4ed25fcd7b1e1416de1db6a1751cc7d7.jpg
Utakooma nahaushindi ng'ooo
 
TOP TEN
baada ya kushiba togwa na ugali maharage leo mchana nikapata utulivu na kuwaza cha kuandika ila kila nikiingia mitandaoni nasikia tu makelele "mchanga wa madini" baada ya kupitia kwa makini nimegundua madini hapo dunia nzima isipokuwa tu sisi hayatunufaishi kutokana na kukosa viongozi wazalendo
Nchi nyingi mfano China na USA zinanufaika na rasilimali zao chache na hawaachi kitu....

Sasa basi tuangalie nchi 10 vinara wa kuzalisha dhahabu duniani yaani nchi ambazo huchimba madini ya dhahabu nchini mwao au ambazo migodi yao inazalisha dhahabu nyingi
Kumbukeni mgodi ni rasilimali ya nchi siyo wawekezaji
Karibuni
......
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom