Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Na wanajua kuitumia hii hazina5/Afrika Kusini![]()
![]()
![]()
Nafikiri kila mtu amezoea kuona simulizi za migodini kupitia tamthilia ya Isidingo The Need
Dhahabu ndo chimbuko la Jiji la Johannesburg lililoanzishwa 1886
Ardhini ina hazina ya tani zaidi ya 6,000
Huzalisha Kg 190,000 za dhahabu kila mwaka
......
eti mke mwee si atukumbushe

