Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Australia
518567ed8404a624dd1a98bc7085edb1.jpg
2f23d83eb1487d1c97dbcc91a6866aad.jpg
14ee0d0cb83d58a8d7782daccb6256a7.jpg

Hii ndo nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Dhahabu hupatikana kwa wingi huko Perth
Mgodi mkubwa na maarufu ni Golden Mile
Dhahabu huwaingizia Australia USD 14 bilioni kila mwaka
Wana hazina/akiba ardhini ya Tani 7,400 za dhahabu
Australia huzalisha dhahabu takribani Kg 270,000 kwa mwaka
.........
 
2/Australia
518567ed8404a624dd1a98bc7085edb1.jpg
2f23d83eb1487d1c97dbcc91a6866aad.jpg
14ee0d0cb83d58a8d7782daccb6256a7.jpg

Hii ndo nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Dhahabu hupatikana kwa wingi huko Perth
Mgodi mkubwa na maarufu ni Golden Mile
Dhahabu huwaingizia Australia USD 14 bilioni kila mwaka
Wana hazina/akiba ardhini ya Tani 7,400 za dhahabu
Australia huzalisha dhahabu takribani Kg 270,000 kwa mwaka
.........
Kwao Mark Viduka
 
3/[USA
0f8eb1b1d260b36f80f7eb22bceff647.jpg
d442a4147c4309aa5572033794296c9e.jpg
df081875a91e9d9c3ac84c280a084916.jpg

Hawa nao wapo
Dhahabu linapatikana kwa wingi huko Las Vegas na Nevada
Dhahabu nyingi imehifadhiwa kwenye mavault huko New York City,Fort and Knox
Kwa mwaka huzalisha dhahabu Kg 237,000
........
Hawa jamaa wana karibu kila kitu vikiwemo mafuta, Uranium na madini mengine adimu. Tatizo lao ni kwamba hawataki kuchimba na hata kutumia ya kwao. Yao wanaweka akiba for the rainy day(s) huko mbele ya safari na kazi yao ni kuchukua ya wengine ikibidi kwa nguvu. Fort Knox kule nasikia wana dhahabu kibao na ndiyo hasa nguvu ya uchumi wao.
 
1/China
af4383b093333f1a66b13e5caa199071.jpg
3046216921d8b5b6331c8ee8c4a25e35.jpg
137c4053b9b65997838cbb2bf98c5f40.jpg
Huyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimbwa Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........

 
1/China
af4383b093333f1a66b13e5caa199071.jpg
3046216921d8b5b6331c8ee8c4a25e35.jpg
137c4053b9b65997838cbb2bf98c5f40.jpg
Huyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........

Asante mkuu nazidi kuelimika tu
 
1/China
af4383b093333f1a66b13e5caa199071.jpg
3046216921d8b5b6331c8ee8c4a25e35.jpg
137c4053b9b65997838cbb2bf98c5f40.jpg
Huyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........

Asante Bitoz
 
Hawa jamaa wana karibu kila kitu vikiwemo mafuta, Uranium na madini mengine adimu. Tatizo lao ni kwamba hawataki kuchimba na hata kutumia ya kwao. Yao wanaweka akiba for the rainy day(s) huko mbele ya safari na kazi yao ni kuchukua ya wengine ikibidi kwa nguvu. Fort Knox kule nasikia wana dhahabu kibao na ndiyo hasa nguvu ya uchumi wao.
Lazima wana siri na kitu fulani
 
1/China
af4383b093333f1a66b13e5caa199071.jpg
3046216921d8b5b6331c8ee8c4a25e35.jpg
137c4053b9b65997838cbb2bf98c5f40.jpg
Huyu ndo baba wa uzalislhaji wa dhahabu duniani
Siyo tu kuzalisha bali pia anaitumia rasilimali zake vilivyo kuleta maendeleo kwa wananchi wake.....hakuna mikatahba ya kiMangungo wala upuuzi wa akina Acacia
Dhahabu inapatikana kwa wingi Shadong Province ambako ndo kuna reli ya Beijing hadi Shanghai
China ina hazina ya dhahabu isiyochimba Tani 1,900
Dhahabu yote inasimamiwa na serikali kupitia China National Gold Group
China huzalisha takribani Kg 255,000 za dhahabu kwa nwaka
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........

Asante kwa kumi kubwa bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom