Makapuku Forum

Makapuku Forum

6)
d32139c30a92697516f22037dd9e9c7e.jpg
 
1955 - Alan Hansen anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Scotland.

Alipostafu kabumbu akaenda kuwa mchambuzi wa soka wa BBC katika kipindi cha Match of the Day.

Moja ya kauli zake maarufu ni " You can't win anything with kids, ni baada ya timu ya Man Utd ilipofungwa 3-1 mechi ya ufunguzi wa ligi na Aston Villa msimu wa 1995/96.

Katika mechi hiyo Man Utd iliwapandisha makinda wake katika kikosi cha kwanza baada ya kuuza wachezaji wake mastaa kama Mark Hughes na Paul Ince, na kuwapandisha makinda ambao ni Gary na Phil Neville, Ryan Giggs, Nick Butt na David Beckham.

Lakini pamoja na kauli hiyo, makinda hao walikuja kutwaa Ligi na Kombe la F.A mwisho wa msimu na kumfunga mdomo Hansen.
68823a9f85e89d1dc09ee6b630ceec31.jpg
fc70934e39e7dd36c70a17618e7be450.jpg
f067caa42c0fb42cc3544b431aa91c6b.jpg

Kakariri makinda ya Prof Mr Bean
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom