Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tuwe na siku njema wanafamilia pendwa

Ila
0fd5f6f61c54eb38455974e08e0d55a2.jpg
Tunashukuru kwa segment yako mkuu
 
Ila hii ripoti ukiipitia inakuacha na maswali lukukii na kuzidi kukukanganya kwa mawazo yangu lakini ..mfano ripoti imesema kuhusu kuondoa hisa za serikal katika mikataba hii ya madini toka 15% mpaka 0% na mawaziri tofauti ok hatujui walifanya kwa maksudi au manufaa yapi ? Lakini sasa ukipitia sheria ya madini ya 73 yr na kurefer mikataba ya awali ya Acacia unaona Acacia wana hati ya kufanya hivo ..

Mambo ambayo tungelipata pa kuanzia kutokana na matokeo ya ripoti mfano nani waziri aliyeingia makubaliano ya 15% huo mwaka 1994 make nakumbuka vyema kulitokea mabadiliko ya mawaziri make 1990 hii wizara ilikuwa maji nishati na madini chini ya Jakaya Kikwete mpaka 1994 ...mwaka huo huo 1994 mpaka 1995 aliingia Jackson Makweta ...ingeweka wazi mwezi upi hii 94

Na wakati inaondolewa 10 nan alikuwa juu ya jambo hili ...waziri au mkuu wa nchi ??

Ila kiukweli Tanzania ina wenyewe kwa dizaini hii
Mimi hii ripoti sijaielewa kabisa
Tunawalalamikia wawekezaji tu ila wale ambao maslahi y'a taifa hawakuyaweka mbele bado wanadunda n'a Léo ndio wanaonekana wakimshangilia magufuli Ambae wakati mikataba hii ikipitishwa bungeni kwa hati y'a Dharura nae aliipitisha
Léo anatuahidi italetwa bungeni ipitiwe upya sawa tunasubiri ila tujue hâta jk aliwahi kutuambia mikataba italetwa bungeni lakini hakufanya hivyo

Ni ccm hawa hawa wakati ikipitishwa kwa Dharura hawakuoji kabisa ila wale ambao wanaitwa Léo hawana uzalendo pia wakati wanapinga mikataba kuletwa bungeni kwa hati y'a Dharura waliitwa pia hawana uzalendo

Sasa najiuliza ni uzalendo wa Aina gani tunatakiwa kuwa nao ili tuonekane wazalendo
 
hivi niulize kama hawa mawaziri walisaini hiyo mikataba marais waliowateua wanapona vipi ??
Kasome katiba
Marais wana kinga ya kutoshtakiwa hivyo hata mkiwapeleka Mahakamani Jaji/Hakimu atawaambia hao marais hawana kesi ya kujibu na kuwaachia tu huru maana wanashtakiwa kinyume cha katiba
Hivyo kuwataja akina JK Na Mkapa ni kupoteza muda
Hivyo km mmemind mkawashtaki tu mbinguni
Tatizo ni katiba mbovu
...........
 
Lakini kuna kiongozi hapo juu amekumbushia baadhi ya Operesheni ambazo JW ilizingua, kama OP tokomeza.
Hiyo huenda kulikuwa na wakubwa Jeshi ni/serikalini wenye maslahi binafsi na Mauaji ya tembo/wanyamapori ndiyo maana wakazingua maana askari anamtii mkubwa wake kijeshi au wa serikalini sasa hapo watu wameegemea maslahi yao halafu nje wanatuzuga
Ni tofauti na suala la Kibiti ambalo siyo la kimaslahi bali kiusalama zaidi
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom