Makapuku Forum

Makapuku Forum

1942 - Walter Rodney anazaliwa.

Alikuwa ni msomi, mwanaharakati kutoka nchini Guyana.

Moja ya kazi yake ni kitabu cha " How Europe Underdeveloped Africa ". Kitabu ambacho Wazungu hawakukipenda.

Alifundisha chuo kikuu cha Dar Es Salaam miaka ya 1970's.

Aliuwawa kwa bomu lililotegwa kwenye gari lake mwaka 1980.
a8e26ac0a99aa85902e8586c8e67aa1f.jpg
302bebcc2d6fb6efbb5db57596e5b3a8.jpg
a3b460bcf4e240349793a24fde2da26f.jpg
3cb6963639af1ab8fd8418a9bbd6a608.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom