Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Wee naeeMpe ua bhasi
Wee naeeMpe ua bhasi
TWIFWADONDOO!!!!
Only found in Tz.
1. Mwanasheria wa serikali aliyehusika na kashfa nyingi za kifisadi
2. Bado ni kiongozi serikalini katika muhimili mmoja mkubwa kati ya mihimili mikubwa ya serikali.
3. Hajawahi kuchukuliwa hatua zozote za kisheria kuhusu tuhuma hizo.
4............(Ongeza na ya kwako)
Ni yeye ndio si umeona kanijibu!!Bamdogo angu hii id ni wewe
HakikaMimi sirogeki kirahisi mkuu.
Yawezekana moto wa maombi ndiyo ulimfanya aache kazi. Endeleeni kushikana katika maombi na sala. Kusali pamoja ni njia mojawapo kuu ya kudumisha ndoa. Blessings!
Tatizo ni kwamba waliokuwa wakubwa wake pengine ndiyo wahusika wakuu; na ukimgusa tu ni mbwai mbwai hakuna atakayebaki salama. Tubadilisheni katiba iruhusu rais akiondoka madarakani tuwe na haki ya kumburuza mahakamani. Mzee wa malofa na wapumbavu na Vasco da Gama wasingepona!DONDOO!!!!
Only found in Tz.
1. Mwanasheria wa serikali aliyehusika na kashfa nyingi za kifisadi
2. Bado ni kiongozi serikalini katika muhimili mmoja mkubwa kati ya mihimili mikubwa ya serikali.
3. Hajawahi kuchukuliwa hatua zozote za kisheria kuhusu tuhuma hizo.
4............(Ongeza na ya kwako)
Mmmmh!!!!Wewe mkewe ulikuwa hujui? Tayari tuhuma zimeshatolewa kuwa pengine hata wewe ameshakufundisha. Mkinga yule hana mchezo ati!
Kama ilivyokua kwa BalaliTatizo ni kwamba waliokuwa wakubwa wake pengine ndiyo wahusika wakuu; na ukimgusa tu ni mbwai mbwai hakuna atakayebaki salama. Tubadilisheni katiba iruhusu rais akiondoka madarakani tuwe na haki ya kumburuza mahakamani. Mzee wa malofa na wapumbavu na Vasco da Gama wasingepona!
Huyu graduate wa Harvard Law School bila shaka anajua mahali pa kutokea. Si ajabu ana hata memos kuonyesha kuwa alikuwa coerced na wakubwa wake na hivyo kisheria hahusiki. Joka Makengeza la kutoka Simiyu hilo!!!
Nimekupata. Humu narogeka kwa/na mtu mmoja tu; na bila shaka unamjua. Aaaaaarghhhh!![]()
![]()
ila vizuri kama hurogeki ila kumbuka wapo wanaopenda kurogeka ...sijasema kurogwaaaa
Mama shunie huyu wa mkongo nakumbuka kwenye harus alitukabidhi bibliaa na tunaitendea kazi
Sasa shedede mchawii kama alitest zali ndo hivo
Hata mi nimeshangaa ujueSijawahi kumuona hivi toka nianze kumjua ndio mana nimemuuliza ni yeye au mtu kaamua kutumia avatar yake
Siyo hiyo ripotiSijui hii movie gan ??![]()
Hyu sio dabyEti kosa kulelewa sijui
Nmekumic tu baba anguNiambie mke wa mimi
Ongera ila itapendeza zaid ukirogwa kapisa fiiiiii nfaaaaaaNimekupata. Humu narogeka kwa/na mtu mmoja tu; na bila shaka unamjua. Aaaaaarghhhh!
sawa mke mwee![]()
![]()
mpaka shemela aamue mwenyewe
Ripot ya nn ??Siyo hiyo ripoti
Oohooo sawaNdio yeye I'd yake nyingine