Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,633
Bhinamu kakwambia hivo ??
Anko, mimi na wewe tunatunziana Siri, sijamwambia
Bhinamu kakwambia hivo ??
Mbona hujanitaja aunt yangu !? Unajua kila kinachohusisha BH huwezi kunikosa
.....moyo wangu kaushika

I see2/Frigate bird![]()
![]()
Aina hii ya ndege ukiwaona ardhini unaweza kuwachukulia tu poa ila akiwa angani ni shida
Wana kasi ya maili 95 kwa saa
......
Binamu ameniambia hivyo eti jana huko unaweza ukawa umetekwa na cheusi mangala
Mwachie aniroge nirogeke...You have the power, sir!Ongera ila itapendeza zaid ukirogwa kapisa fiiiiii nfaaaaaa
Anko wangu hawezi kutekwa yuko makini sana. Watekaji huwa hawatumii nguvu kumteka maana huwa anaenda kwao kujiteka. Juzi kajiteka kwa cheusi

asante1/Peregrine Falcon![]()
![]()
![]()
Huyu ndiye mnyama wa angani(ndege) mwenye kasi zaidi duniani
Ana jeuri ya kukimbia/kupaa kwa Maili 200 kwa saa
Yaani spidi mara nne ya simba
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Anapostiwa sana. Pengine ndiye yeye!Hv shemela huyu ndo D nn
Mkongo,are you alive mr?Goodmorning family.....one love![]()
(1) Siyo kila kitu kinapaswa kuwekwa Facebook, Instagram na kwingineko!![]()
Yeah ni kweli nimeongea naehuyo ni Daby amenithibitishia hiyo ni id yake nyingine
Nasubiri nijbiwa mkuuAnapostiwa sana. Pengine ndiye yeye!
Ujinga wake mwenyeweeeeHawa plastic surgeons shwaini kabisa hawa. Yaani wao hawafiki mahali wakasema no...Now it is enough. As long as you pay them, wataendelea kukukata tu...![]()
![]()
binamu yangu jamaan tatizo umepotea sana siku mbili hizi mama mchuchu ukuje binamu obe anakuuliziaMbona hujanitaja aunt yangu !? Unajua kila kinachohusisha BH huwezi kunikosa
.....moyo wangu kaushika