Makapuku Forum

Makapuku Forum

(1) Siyo kila kitu kinapaswa kuwekwa Facebook, Instagram na kwingineko!
73d5ff9db61bc344f6ff3367b1c28819.jpg
 
Mmmh!

[emoji524] MITHALI 8

INASEMA:-

21."Mauti na uzima vino katika uwezo was ulimi, nao waupendao watakula matunda take"
Kamwe usijilaani mwenyewe
[emoji524] ZABURI 34

13.Uzuie ulimi wako na mabaya, na midomo yako na kusema hila''

[emoji524] MITHALI 12

18."Ulimi wa mwenyehaki no afya"

Kila mtu anapenda lugha nzuri, tamu na maneno ya kutia moyo, uongeayo kwa ulimi wako ndiyo yatakufanya watu wakusogelee au kuwakimbiza.
Mungu atusaidie kwa polite tunalojinenea vibaya tufanye toba na kuanza upya.... IPO njia.
Kweli mama mchuchu usiunenee mabaya ulimi wako [emoji120]
 
Sio mama tu wanaostahili kuheshimiwa hata ng'ombe. Kama unataka kizazi chako kiheshimiwe ni vyema ujiheshimu Kwanza.

Kwako swali nililoulizwa ni zuri kisa niliulizwa mimi au? Kwanini hukukemea nilipokashifiwa mimi?
Huyo ana Interest hapo lakini ukimwambia atatoka povu huwezi amini [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom