Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,639
Lee hujambo?Good afternoon
Lee hujambo?Good afternoon
Kwahiyo Baba D jana ulitekwa au haujatekwa?Unamsingiziaa
Kweli mama mchuchu usiunenee mabaya ulimi wakoMmmh!
MITHALI 8
INASEMA:-
21."Mauti na uzima vino katika uwezo was ulimi, nao waupendao watakula matunda take"
Kamwe usijilaani mwenyewe
ZABURI 34
13.Uzuie ulimi wako na mabaya, na midomo yako na kusema hila''
MITHALI 12
18."Ulimi wa mwenyehaki no afya"
Kila mtu anapenda lugha nzuri, tamu na maneno ya kutia moyo, uongeayo kwa ulimi wako ndiyo yatakufanya watu wakusogelee au kuwakimbiza.
Mungu atusaidie kwa polite tunalojinenea vibaya tufanye toba na kuanza upya.... IPO njia.

Shemela wangu siku hizi una kauchochezi kwa mbali ujue
Poa shemela wangu mie za wewe hivi story imewekwa kweli sijataka hata kuendelea zaidi namjua Baba DShemela za mchana
Mke mwee jamaan hivi story vipiiMke mweee![]()
Hi
Kosa gan kamanda nyageiNakuona mkuu umerudia kosa lile lile sijui umejua umefanya makusudi au hujajua
Niambie mke wa mimiMume wa mie![]()
![]()
![]()
Nimechochea nini shemela wangu wa ukweliShemela wangu siku hizi una kauchochezi kwa mbali ujue
Haijawekwa shemelaPoa shemela wangu mie za wewe hivi story imewekwa kweli sijataka hata kuendelea zaidi namjua Baba D
Leo naona uko mpole sana shemela, kweli siku hazifananiPoa shemela wangu mie za wewe hivi story imewekwa kweli sijataka hata kuendelea zaidi namjua Baba D
Asante mama mchungajiMATHAYO 5
9.Heri wapatanishi maana wataitwa wana wa Mungu
BIBLIA HABARI NJEMA KWA WATU WOTE
MATHAYO 5
9.Heri wenye kuleta Amani maana wataitwa watoto wa Mungu.
Shemeji za jioni
Huyo ana Interest hapo lakini ukimwambia atatoka povu huwezi aminiSio mama tu wanaostahili kuheshimiwa hata ng'ombe. Kama unataka kizazi chako kiheshimiwe ni vyema ujiheshimu Kwanza.
Kwako swali nililoulizwa ni zuri kisa niliulizwa mimi au? Kwanini hukukemea nilipokashifiwa mimi?

Haahhah unajua mwenyewe unavyochocheaNimechochea nini shemela wangu wa ukweli
Muombee basi mkeo kwa Baba D atuwekeeHaijawekwa shemela