Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Nashkuru mama yangu kama unaendelea vizuri ubarikiwe sanaMarahaba mwanangu za uzima ,umeamkaje leo mimi mzima kabisaa namshukuru Mungu
Nashkuru mama yangu kama unaendelea vizuri ubarikiwe sanaMarahaba mwanangu za uzima ,umeamkaje leo mimi mzima kabisaa namshukuru Mungu
Iwe nawe piaAs your name BlessedHope
![]()
![]()
amani ya bwana ikae nawe moyoni mwako
Amen asanteUbarikiwe pia mtumishi
Bhinamu kakwambia hivo ??Furaha yangu Baba D ila jana haujatekwa kweli huko kibamba malapa na kinyerezi jaman na kina cheusi mangala
Binamu ameniambia hivyo eti jana huko unaweza ukawa umetekwa na cheusi mangalaBhinamu kakwambia hivo ??
UnamsingiziaaBinamu ameniambia hivyo eti jana huko unaweza ukawa umetekwa na cheusi mangala
Mmmh!
MITHALI 8
ZABURI 34
MITHALI 12Furaha yangu Baba D ila jana haujatekwa kweli huko kibamba malapa na kinyerezi jaman na kina cheusi mangala

Makinikia part twoSijui hii movie gan ??![]()
Amen mama mchungajiMmmh!
MITHALI 8
INASEMA:-
21."Mauti na uzima vino katika uwezo was ulimi, nao waupendao watakula matunda take"
Kamwe usijilaani mwenyewe
ZABURI 34
13.Uzuie ulimi wako na mabaya, na midomo yako na kusema hila''
MITHALI 12
18."Ulimi wa mwenyehaki no afya"
Kila mtu anapenda lugha nzuri, tamu na maneno ya kutia moyo, uongeayo kwa ulimi wako ndiyo yatakufanya watu wakusogelee au kuwakimbiza.
Mungu atusaidie kwa polite tunalojinenea vibaya tufanye toba na kuanza upya.... IPO njia.
Shemela za mchanaMama mchuchu mama yake na shunie roho yake na mukongo shikamoo mama



Dem stupid criminals. Here they come...
(5) Na hii tattoo yake usoni, ni sawa na mbuzi kufia kwa muuza supu!![]()

Uwe na siku njema mkuu. Sina ugomvi nawe ila tu huwa nakereka sana nikiona mtu anatukana mama wa mtu. That's all my friend!Sio mama tu wanaostahili kuheshimiwa hata ng'ombe. Kama unataka kizazi chako kiheshimiwe ni vyema ujiheshimu Kwanza.
Kwako swali nililoulizwa ni zuri kisa niliulizwa mimi au? Kwanini hukukemea nilipokashifiwa mimi?
Acha umbea Madenge. We mwenyewe ukizinguliwa kuna wakati huwa unashindwa kuvumilia japo mara nyingi huwa unajitahidi kupotezea...![]()
![]()
Nikiona watu mnazinguana napita tu
......