Karibu sana mkuuAsante mama mchungaji
AsanteEnd![]()
.....
Ohoooo mkuu hayo sijayaanzisha Mimi kina mondray ndio walosema kuwa unalelewa na vale pia ulikuwa unalelewa na casieKwa hiyo huyu mwanamke anahaki ya kusema nimezoea kulelewa?Haha..
Ok, let's say nimezoea kulelewa na nilimwacha kisa alishindwa kunilea.
Uko poa mama mke wa mchawiOhoooo mkuu hayo sijayaanzisha Mimi kina mondray ndio walosema kuwa unalelewa na vale pia ulikuwa unalelewa na casie
Angalia post za nyuma utaona mi nimeendeleza tu ila sijayaanzisha mie
By the way km imekuboa unisamehe tu hakuna nisichokipenda humu ndani km kuudhi mtu
Kazi ya mikono ya Mungu
Nikiziangalia mbingu, ni kazi ya vidole vyako pia na nyota ulizoratibisha wewe:-Choir MT. CECILIA ARUSHAHongera zake
Really?
Mzee wa Kung'oaaaaa...Ni yupi mtoka povu unayemlenga hapa? Utani wangu ukikuzidia sema nipunguze mkuu; au niache kabisa kukutania. Unakwazika ninapokutania kuhusu ukaka wako kwa malkia Shunie na "ukipenzi rafiki" wako kwa kamanda Lee? Hii ni makapuku bageshi na utani ndo jadi yetu. Pole!Huyo ana Interest hapo lakini ukimwambia atatoka povu huwezi amini![]()
![]()
![]()
Mpe ua bhasiAISEE.....TANGU NIINGIE JF SIJAWAHI KUONA DABY ANAKASIRIKA POPOTE ULIPO UNISAMEHE TU MKUU