Makapuku Forum

Makapuku Forum

ebaf13a026d11927b800d1780f73ed8e.jpg
Lee!
 
Mmmh!

MITHALI 8

INASEMA:-

21."Mauti na uzima vino katika uwezo was ulimi, nao waupendao watakula matunda take"
Kamwe usijilaani mwenyewe
ZABURI 34

13.Uzuie ulimi wako na mabaya, na midomo yako na kusema hila''

MITHALI 12

18."Ulimi wa mwenyehaki no afya"

Kila mtu anapenda lugha nzuri, tamu na maneno ya kutia moyo, uongeayo kwa ulimi wako ndiyo yatakufanya watu wakusogelee au kuwakimbiza.
Mungu atusaidie kwa polite tunalojinenea vibaya tufanye toba na kuanza upya.... IPO njia.
Cc Shedebe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom