Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Shemela wa kwangu mimi apaAtafika lini sasa
Shemela wa kwangu mimi apaAtafika lini sasa
Ukiona hivyo anawezaUtawezaaa??
Nimefanyajee swty manka mkalia ini nikikkosaa nakua zezetaanina moyo mie ujue
Hata cjui kapotelea wapiShedebe yuko wapi?
Dreams never end by fear
Nimekuja mke mwee![]()
![]()
shunie mamaa maflower hku
Safi maamboShem Habari
Dreams never end by fear
Kikofia Kawa adimu sana huku, japo mitaa mingine yupoNimeokotoza tu mdau
Jonax ndo alikuwa bingwa wa kuzileta humu
Labda wajuzi watujuze![]()
![]()
.......
Hii hali sio shwari kabisa...kwa jinsi hali ilivyo ngumu, hata ukimtunza PIPI mwanamziki wa bendi, utasikia anakutaja pedeshee lee, mutu ya PEREMENDE![]()

Tuadithie hapa hapaBhanaaa mbona mnataka mm niishii kwa stress![]()
![]()
![]()
Ntakuadithia jionii make nina namba zake
Wewe si bwana wako au ulivomchuna zikaishaa wakamwaganaHata cjui kapotelea wapi
Kunguru hafugikiBaba D nakusalimia mimi hivi utapigiwa simu na wangapi baba angu
Hadithi gani shemela usiniambie Baba D wangu nae amekuwa mtunzi wa storyHiyo hadithi ya Lee
Nisalimie dMama D mbona unanifanyia hivooo??
Usichekeee
Hii hali sio shwari kabisa...kwa jinsi hali ilivyo ngumu, hata ukimtunza PIPI mwanamziki wa bendi, utasikia anakutaja pedeshee lee, mutu ya PEREMENDE![]()

ZABURI 9

Safi niaje wwShemeki za mchana
Hivi inaendeleaHa ha ha ha ha ha... Najishtukia vp Rafiki kipenz? Yule demu bomba mwenye nywele nyingi kwapani uliekutana nae kwenye daladala..... imeishaje ile episode.