Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
HaahhhKama mtu hajanyongwa sijui
HaahhhKama mtu hajanyongwa sijui
Inamaana sakayo na shunie ni mtu na Dada yake au?Acha kumuita shunie mkuu ni shemeji wako
Itegue basiUna mitego na wewe!!!
Mwenyewe hajui halipoo
Ameona inamzibia rizik
kwani hawawasiliani
Dalali naona una details zote dah!
Nadhani yupo katika mishe za kusaka pesa. Biashara yake, kama zilivyo zingine, ni ya kusafiri safiri sana. Akipata mwanya atarudi. Mungu Ambariki na kumshika mkono huko aliko.

Huyu ndio sakayo nimjuaye mimiAcha habari zako, we usinisanifu hapa.
Kama ulikuwa ukiniona humu ni dhahiri wajua niko na mume...
Na kama ni mmu basi una id ingine, unajua hii id yako ni ya Jana???? Sasa sema ukweli
Hakyamama wewe nakugawa.....Nakuooonaaaa
T amekufanya ung'areeee
Amekufanyaa ung'areeee. ...teee t
Nakuonaaa unavopendwaaaaa
PoaBasi dada nikikupigia simu au ukinipigia nitakusimulia
Hasira zote zitaishia kwakeSijuii yuko wapi nae

Huyo badooo saaana![]()
![]()
![]()
yamekushinda
Nakuooonaaaa
T amekufanya ung'areeee
Amekufanyaa ung'areeee. ...teee t
Nakuonaaa unavopendwaaaaa

Yupo ngangari![]()
![]()
![]()
yamekushinda
Kwani wewe ndiyo sakayo Mkuu?Ila sakayo ni mke wa mtu, mumewe anaitwa T
Unaanzaje kufwa uniache labda![]()
![]()
ukiniacha unipe taarifa ili nijiandae kisaikolojia naweza kukufwa ukapata kesi ya mauaji