Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
AsanteNi uchaguzi binafsi wa nchi
Kwani hajawahi kuona hata bendera za nchi ukaribia kufanana?
Hutumika kwa ajili ya utalii na pia kutambulisha nguvu/tabia ya Taifa husika
Mfano
USA wanatumia Eagle na ni taifa babe kijeshi na kiuchumi wakati Tz tunatumia Twiga ni Taifa lenye ukarimu na upole/unyonge karibia kila kitu kuanzia uchumi hadi michezo
![]()
![]()
![]()
......
YapUmeona Husna.
Naona mnasogeza uziiNzuri mkuu
Ohooo....Kifupi ni mdebwedo au
Mm ndo maana huwa nashinda humu kapuku make napata kila nachohitajii
huyu bitoz kibokoAsante sana mama mchungaji.......naomba nijitambulishe kwako kuwa mimi ndie padre wa humu na nimefarijika na huduma yakoNjema karibu
....unaweza kuniita MP
Yeah,sijanyongwa badoNakuonaaa nakuonaaa
Leo mtaisoma nambaYanga kama kawa ushindi. Nyau atageuka chui wa Kenya.
No noLeo mtaisoma namba
Lee kapata wivu. Kunyongwa inahitaji ujasiri.Yeah,sijanyongwa bado
Na yy anakuona piaNakuonaaa nakuonaaa
Nawe piaaMATHAYO 7
7. Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtapata,bisheni nanyi mtafunguliwa.
Mungu ulisema niombe nami nitapewa.Na nitafute nami nitapata.Nibishe nami nitafunguliwa.
MPENDWA
USIACHE KUOMBA,KANUNI HII INATUHAKIKISHIA KUPATA TUTAKACHOOMBA KWA IMANI![]()
NAWATAKIA MCHANA MWEMA![]()
![]()
Yes km kawaaNaona mnasogeza uzii
Asante sana mama mchungaji.......naomba nijitambulishe kwako kuwa mimi ndie padre wa humu na nimefarijika na huduma yako![]()
![]()
![]()
....unaweza kuniita MP
![]()

Hakuna cha no hapaNo no