Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni uchaguzi binafsi wa nchi
Kwani hajawahi kuona hata bendera za nchi ukaribia kufanana?

Hutumika kwa ajili ya utalii na pia kutambulisha nguvu/tabia ya Taifa husika
Mfano
USA wanatumia Eagle na ni taifa babe kijeshi na kiuchumi wakati Tz tunatumia Twiga ni Taifa lenye ukarimu na upole/unyonge karibia kila kitu kuanzia uchumi hadi michezo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
......
Asante
 
[emoji524] MATHAYO 7

7. Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtapata,bisheni nanyi mtafunguliwa.

Mungu ulisema niombe nami nitapewa.Na nitafute nami nitapata.Nibishe nami nitafunguliwa.

MPENDWA
USIACHE KUOMBA,KANUNI HII INATUHAKIKISHIA KUPATA TUTAKACHOOMBA KWA IMANI[emoji123]
NAWATAKIA MCHANA MWEMA[emoji7] [emoji7]
Nawe piaa
 
b743ecc77d68475267a53056e64b3631.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom