Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Air India Flight 182
023947526bbc4353eec05a4d70481283.jpg
5a32cb100563c55834ac2fac3b5c33f7.jpg
599d3f5698eb93241027e0f003cd9496.jpg
Ndege hii ilikuwa ikisafiri kutoka Toronto Canada kuelekea Delhi India kupitia London England.
Ilikuwa ni ndege aina ya Rowing 747--237B Jumbo Jet ilitunguliwa Ukiwa umbali wa futi 31,000 kutoka ardhini yaani ilipigwa kombora la Bomu na hivyo kuangukia katika pwani ya Ireland katika bahari ya Atlantiki hii ilikuwa ni mwaka 1987 na kuua abiria 329
Wakanada waliokufa ni 268 wakati Waingereza ni 27
Ndiyo tukio baya la ndege kutokea hadi ilipofika 2001 kule kwa Trump
.....
 
10/Air India Flight 182
023947526bbc4353eec05a4d70481283.jpg
5a32cb100563c55834ac2fac3b5c33f7.jpg
599d3f5698eb93241027e0f003cd9496.jpg
Ndege hii ilikuwa ikisafiri kutoka Toronto Canada kuelekea Delhi India kupitia London England.
Ilikuwa ni ndege aina ya Rowing 747--237B ilitunguliwa Ukiwa umbali wa futi 31,000 kutoka ardhini yaani ilipigwa kombora la Bomu na hivyo kuangukia katika pwani ya Ireland katika bahari ya Atlantiki hii ilikuwa ni mwaka 1987 na kuua abiria 329
Wakanada waliokufa ni 268 wakati Waingereza ni 27
Ndiyo tukio baya kutokea hadi ilipofika 2001 kule kwa Trump
.....
Sorry una-details zozote kuhusu ndege walioitengeneza wachina ambayo wao waliiuza nusu ya bei ya boeng tafadhari
 
NUKUU YA LEO.

Because i grew up playing for Roma and i want to die playing for roma, because i have always been a Roma's fan


Kwa kuwa nimekuwa nikiwa naichezea Roma , nataka nife nikiichezea Roma kwa kuwa mimi nimekuwa shabiki Roma.


Maneno yalipatwa kusemwa na Francesco Totti mshambuaji wa time ya As Roma na taifa la Italia.

Totti anashikilia rekodi ya kuwa Captain mdogo katika ligi ya Serie A

Amekuwa mfungaji mwenye umri mkubwa kwenye ligi ya mabingwa ulaya.

Anashikilia rekodi ya ufungaji wa penati nyingi Serie A.
3c5fadcf2201c5050dc7d6de88a9c3be.jpg
21799475aca541901f5de5a1537614cb.jpg
af352a8130c178623305bc66836f4584.jpg


Muendelezo tuu wakuu..

Muwe na asubuhi njema.
Asante kwa Nukuu ya Leo T wa Sakayo
 
9/Gamboru Ngala attacks
7e7081aced9bf0cf36c7a11340727388.jpg
c8e88e47fd43040ed5a56ffeb64b8e75.jpg
eebee2e3b3d5111d3a6d085139820e47.jpg
Hii ilitokea mwaka 2014 huko Nigeria
Ni mashambulizi yaliyofanywa na Goko Haram katika miji ya Gamboru na Ngala katika jimbo la Borno
Ni mashambulio yaliyodumu kwa masaa 12 na kuteketeza kabisa miji hiyo na kuua watu 336
Walionusurika wengi walikimbilia nchini Cameroon
......
 
8/Karrada Bombing
2c57c9ee3b7b630054f17d1284fa12c7.jpg
66d6f846e21e3faa4fda2091d109daf7.jpg
114b6396cac2e8a4d6986b13442a174b.jpg

Ni shambulio lililofanywa mwaka 2016 huko Baghdad nchini Irak
Yalikuwa ni mashambulizi matatu tofauti yaliyofanywa na Islamic State katika mji huo wakati wa shamrashamra za Ramadhani
Mashambulizi hayo yaliua watu 341 huku mamia wakijeruhiwa
Lilikuwa ni tukio la pili la kigaidi baya zaidi kutokea nchini humo
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom