Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Cinema Rex fire
7aea89fde19c3f508a6791b0b18e6ecc.jpg
f5db35f70188617209ed71ce7fc1c1f5.jpg
8ba5ba4fcd80122230dccddcf43d8bd7.jpg
Ilikuwa ni Agosti 1978 huko Abadan Magharibi mwa Iran
Shambulio lilifanywa na watu wasiojulikana ambao waliwasha moto mkubwa wakati mania ya watu wakiwa ndani, hapo sasa kila mtu akstaka kujiokoa mwisho wa siku watu 422 walipoteza maisha huku wengi wakiwa km majivu
.....
 
10/Air India Flight 182
023947526bbc4353eec05a4d70481283.jpg
5a32cb100563c55834ac2fac3b5c33f7.jpg
599d3f5698eb93241027e0f003cd9496.jpg
Ndege hii ilikuwa ikisafiri kutoka Toronto Canada kuelekea Delhi India kupitia London England.
Ilikuwa ni ndege aina ya Rowing 747--237B Jumbo Jet ilitunguliwa Ukiwa umbali wa futi 31,000 kutoka ardhini yaani ilipigwa kombora la Bomu na hivyo kuangukia katika pwani ya Ireland katika bahari ya Atlantiki hii ilikuwa ni mwaka 1987 na kuua abiria 329
Wakanada waliokufa ni 268 wakati Waingereza ni 27
Ndiyo tukio baya la ndege kutokea hadi ilipofika 2001 kule kwa Trump
.....
imeua watu wengi
 
4/Cinema Rex fire
7aea89fde19c3f508a6791b0b18e6ecc.jpg
f5db35f70188617209ed71ce7fc1c1f5.jpg
8ba5ba4fcd80122230dccddcf43d8bd7.jpg
Ilikuwa ni Agosti 1978 huko Abadan Magharibi mwa Iran
Shambulio lilifanywa na watu wasiojulikana ambao waliwasha moto mkubwa wakati mania ya watu wakiwa ndani, hapo sasa kila mtu akstaka kujiokoa mwisho wa siku watu 422 walipoteza maisha huku wengi wakiwa km majivu
.....
Aiseee
 
3/Iraq May attacks
3c12ff46b3bd6aa0d597717b0514964c.jpg
2d4eae4c891ca30b2d4cae8e958d55a8.jpg

Ni mashambulizi yaliyotokea Irak mwezi May mwaka uleule wa 2013
Ulikuwepo mfululizo wa milipuko ya mabomu na watu kupigwa risasi katika mikoa ya Kaskazini na Katikati ya Irak
Watu zaidi ya 500 walipoteza maisha
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom