Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
napajua wapi mimiNtazipitiaaa shunie anapajuaa atanisindikiza
napajua wapi mimiNtazipitiaaa shunie anapajuaa atanisindikiza
Mmunapajua wapi mimi
Asante nimeshapoaPole sana, ni matumaini yangu Mungu kawanyia wepesi juu ya mpendwa wenu.
hahaha msukuma huwa unanifurahisha sana halaf hiyo avatar yako sijui kwa nini inanichekesha mwanzo nilijua drogba kuangalia vizuri nimebaki nacheka tuTayari bingwa wa wivu kesharipuka. Kazi kweli kweli!
Umejihisi tu. It must be hell kuoa mwanamke mzuri kupindukia. Hata akienda kwenye misiba tu we tumbo moto. Halafu ukipata BP unaanza kutafuta mchawi...
Shunie hapajui, njoo shemeji bana tufaamiane.Ntazipitiaaa shunie anapajuaa atanisindikiza
Sorry unatumia tigo ??Shunie hapajui, njoo shemeji bana tufaamiane.
Situmii Mkuu, ila nikipewa nitajifunza namna ya kutumia.Sorry unatumia tigo ??
Ongera mkuuSitumii Mkuu, ila nikipewa nitajifunza namna ya kutumia.
Drogba ndiyo nani? Ni boxer ama? Niko kwenye process ya kubadilisha ID (keep all my posts) na kuwa verified user. Nimeambiwa kupeleka fee ya 30, 000 na aina tatu za ID. Soon nitakamilisha masharti na nitakuwa hapa laivu kabisa mwenyewe kutoka Kolomije...hahaha msukuma huwa unanifurahisha sana halaf hiyo avatar yako sijui kwa nini inanichekesha mwanzo nilijua drogba kuangalia vizuri nimebaki nacheka tu
pamoja shem ✔.Ongera mkuu
Probably I didn't. Kuwanyia ni msamiati mgeni kwangu na ume-rhyme na kuwanyea. Sorry...did you get me well? Yes, Mungu anafanya wepesi wa mioyo kwa wafiwa.
Hii nayo kali
Drogba ni mchezaji mpira msukuma usijal msukuma kuwa na amaniDrogba ndiyo nani? Ni boxer ama? Niko kwenye process ya kubadilisha ID (keep all my posts) na kuwa verified user. Nimeambiwa kupeleka fee ya 30, 000 na aina tatu za ID. Soon nitakamilisha masharti na nitakuwa hapa laivu kabisa mwenyewe kutoka Kolomije...
Kama huwa nakufurahisha ndiyo vizuri. Na ikitokea nikakuudhi uwe unanisamehe kama vile ambavyo tayari umeshafanya mara kadhaa. U binadamu mwema!
Nimekuelewa Mkuu, ni makosa ya kiuandishi nadhani ulinielewa nilichomaanisha.Probably I didn't. Kuwanyia ni msamiati mgeni kwangu na ume-rhyme na kuwanyea. Sorry...
Tuko pamojaa ..vurumishaa mambo tujioneeTOP TEN
Leo tuangalie matukio ya kigaidi,mashambulizi ya kigaidi/matukio ya kujitoa mchanga 10 ambayo siyo ya zamani sana yaliyosababishwa vifo vingi
Izingatiwe matukio mengine yanawezekana yasiwe ya kigaidi ila yameorodheshwa kwa sababu maalumu na wazee wa maslahi a.k.a Wazungu
Twende kazi.....
***********
Mimi na mpira ni maji na mafuta ndo maana simjui. Angekuwa boxer hapo sasa...Amani ninayo, tena ya kweli kabisa. Na hapa Koromije yaani ni raha tu mtindo mmoja!Drogba ni mchezaji mpira msukuma usijal msukuma kuwa na amani