Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Karrada Bombing
2c57c9ee3b7b630054f17d1284fa12c7.jpg
66d6f846e21e3faa4fda2091d109daf7.jpg
114b6396cac2e8a4d6986b13442a174b.jpg

Ni shambulio lililofanywa mwaka 2016 huko Baghdad nchini Irak
Yalikuwa ni mashambulizi matatu tofauti yaliyofanywa na Islamic State katika mji huo wakati wa shamrashamra za Ramadhani
Mashambulizi hayo yaliua watu 341 huku mamia wakijeruhiwa
Lilikuwa ni tukio la pili la kigaidi baya zaidi kutokea nchini humo
........
Upo wewe bitoz wa mabibo
 
7/Beslan School Hostage Crisis
342297c8eb1615c82a7dc7631937e68d.jpg
c07b79be273a7a7c3df26c75c76bae27.jpg
6c168655e40983c62760c858f7826094.jpg
Hii ilitokea mwaka 2004 wakati Wachechen (Chechnya) wakidai uhuru wao
Sasa wanajeshi wa Chechnya wakaliteka jengo la shule km shinikizo la kupewa Uhuru wao, sasa majeshi ya Urusi yakaamua kukomboa jengo/watu na hapo kuibuka mashambulizi
Mwisho wa siku watu 385 walipoteza maisha
Wahanga wakubwa wakiwa ni watoto
......
 
7/Beslan School Hostage Crisis
342297c8eb1615c82a7dc7631937e68d.jpg
c07b79be273a7a7c3df26c75c76bae27.jpg
6c168655e40983c62760c858f7826094.jpg
Hii ilitokea mwaka 2004 wakati Wachechen (Chechnya) wakidai uhuru wao
Sasa wanajeshi wa Chechnya wakaliteka jengo la shule km shinikizo la kupewa Uhuru wao, sasa majeshi ya Urusi yakaamua kukomboa jengo/watu na hapo kuibuka mashambulizi
Mwisho wa siku watu 385 walipoteza maisha
Wahanga wakubwa wakiwa ni watoto
......
Duuuuuh ..ila hii naikumbuka ilikuwa hatar kipnd hicho
 
5/Massacre of Trujillo
8d5d7b6978f414462afd119616c28486.jpg
e2fecf511cb70faccec8222717ed1af5.jpg
aead472cc8ac9011c5c6e5690d89a40b.jpg

Huu ulikuwa ni mfululizo wa mauaji yaliyofanyika kati ya mwaka 1988 hadi 1994 katika mji wa Trujillo nchini Colombia na genge la wauza dawa ya kule vya(unga) waitwao Cali Cartel ambalo lilikuwa haliguswi na
jeshi wala Polisi
Moja kati ya mauaji waliyoyafanya ni ya Father Tiberio Fernandez ambaye alikuwa ni Padri wa Kikatoliki mjini hapo
Walifanya mauaji ya watu zaidi ya 400 wengi wao wakitekwa na kuteswa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom