Mungu ni mwema SanaWakuu kama kawaida yetu kumekucha salama ..Tumshukuru Mungu ...soon UF inakujiaa
Wakinga hatunaga roho ya chuki mtaniNimeiona ndugu yangu na mtani wa Kikinga. Asante sana. Una moyo mzuri kwa sababu mtu mwingine asingeweza kuwa wazi namna hiyo. Kuna kijana wangu alikosa mkopo wa chuo na ana juhudi kweli. Nitamuuliza afanye upembuzi yakinifu kuhusu soko halafu nitakutonya. Nakushukuru MNO !!!
Morning LeeWakuu kama kawaida yetu kumekucha salama ..Tumshukuru Mungu ...soon UF inakujiaa
nahiyo green vip sasa
Lee Asante kwa UFWakuu tuwe na siku njema ...
Ila kumbuka...![]()
Kwelii kabisa pua yangu kubwa iyo lakini jicho lina size ileile
Tiririka mkuuWakuu kama kawaida yetu kumekucha salama ..Tumshukuru Mungu ...soon UF inakujiaa