Makapuku Forum

Makapuku Forum

1980 - Kituo cha televisheni cha Cable News Network ( CNN )chaanza kurusha matangazo yake.
d3de34ac7e6c2dfd2dfd0a10191a087c.jpg
c2a9e8e0156d78016a2ca2ead9a21a99.jpg
Kilianzishwa na Ted Turner akiwa na wenzake 25 ambapo walianza kwa kuwekeza USD 20 Milioni
....
 
1990 - Rais wa Marekani George H.W. Bush na Rais wa Urusi Mikhail Gorbachev wanasaini mkataba wa kumaliza matumizi ya silaha za kemikali.
d87e18ebc45ed22e24a42c9736ef07be.jpg
3b7e67f090f18225e1f8f1f777e00f3c.jpg
Ni makubaliano ya kutekeza silaha za kikemikali na kutotengeneza zingine

Ila inaonekana hazikuteketezwa zote wala nini ilikuwa zuga tu na waliendelea kuzitengeneza kimyakimya
.....
 
Habari za asubuhi makapuku wenzangu! Kumekucha na kama kawaida tunachofanya ndicho tulichonacho (unakipenda au hukipendi.. a bird in the hand ...)

Asanteni sana shululu , lee empire BlessedHope kwa magazeti, UF na sala. Mnaifanya forum hii kuwa hai sana na mnatufanya member wa humu kuwa na afya njema (serious)

Shunie , sijui niandike nini ndo ujue kuwa nilikumiss sana humu, ulimisiwa na kila mmoja humu na tulilia na wewe msibani na baadaye tukasema haya ni maisha na yaendelee. Karibu sana, hakuna jipya ni yale yale labda upande wangu tu kuna mabadiliko kidogo, si sana

BH yupo na bado ninaridhika na asante, mkongo kaibiwa simu so maua yatanyauka tun, na shedede katuzuga na hadithi fupi isiyo na mwisho, tunaisubiri. Hey, karibu.

Tuwe na wakati mzuri Makapuku wote
Tupo pamoja Obe,asante sana ubarikiwe ...siku njema
 
1926 - Marilyn Monroe anazaliwa.

Alikuwa ni mrembo matata aliyetikisa Marekani miaka ya 1950 mpaka 1960's.

Inadaiwa aliwahi kutoka kimahusiano na Rais wa 35 wa Marekani, John F. Kennedy na kaka yake Robert F. Kennedy.
0a5087619a30b78a5dc6090343fa2f18.jpg
c91a7ba8e989b26be04f7ee53e7d86f2.jpg
Ni mmoja kati ya wanawake warembo weupe kuwahi kutokea duniani
Ila aliutumia vibaya urembo wake
Kwani ni mmoja wa warembo wa kizamani maarufu kwa kupiga picha za utupu
Ni km Naomi Campbell wa zama hizi
23fed50c420132a038b1b1d43cbf36d6.jpg
Siyo tu inadaiwa bali ni kuna kaukweli kwamba JFK alikuwa anakula mzigo...
JFK ni mmoja wa marais wa USA wapenda totoz hata mkewe alikuwa ni mrembo

Kilichofanywa na Marilyn Monroe ni km alichofanya Naomi Campbell kulala na Charles Taylor
5feb95efd9cdbd71c869d1b5dcec6848.jpg

Ili kutunza heshima ya Rais JFK Maofisa wa FBI chini ya Edgar Hooverwakatia mkono na kufanya mambo kimyakimya
Na kwavile M arilyn alikuwa ni mlevi na malaya basi inadaiwa walimuua kwa sumu
Km picha inavyoonekana alikutwa chumbani kwake akiwa amekufa usingizini
Pembeni zilionekana dawa za kulevya na pombe{inadaiwa ziliwekwa na FBI km zuga tu) au alitegeshewa sumu kwenye kinywaji
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom